Poleee sana nimepata uchunguu wa moyoooo
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]aiseeee hatutaki kabisa kwa sababu tutarudi kula mlendaa na nsansaTatizo ni kwamba, kwa sasa hatuwezi kuelewana na hauwezi kunisaidia. Gyole nae bado ana mambo ya kinanso kama mjelemani wa nkonkilangi kule karibu na mingela mbele ya shelui kupitia mgongo.
Inamaana hamtaki kabisa kudumisha himaya ya Singida?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]aiseeee hatutaki kabisa kwa sababu tutarudi kula mlendaa na nsansa
[emoji23] najuaga fika hulipendi hilo nenoHapa siitikii....
Asante makaveli,naipenda avatar yakoPendaneni tu ndugu zangu.
Mnaongeaga lugha gani?Leka kabisa. Nasagile numusimbe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwamba mbona unataka kumpeleka kibabe kibabe mamsap? Hizi kauli za kijeshi ziepuke mkuu. Ameshakuelewa, na wewe muelewe.
Kama uko tayari nikutafutie mtoto wa kikurya akufute machoziTatizo ni kwamba, kwa sasa hatuwezi kuelewana na hauwezi kunisaidia. Gyole nae bado ana mambo ya kinanso kama mjelemani wa nkonkilangi kule karibu na mingela mbele ya shelui kupitia mgongo.
Inamaana hamtaki kabisa kudumisha himaya ya Singida?
Furu.Mate yamejaa ngoja niende porini ntarudiBakieni huko huko na hao watu wenu wa chips mayai. Sie tunagonga mapama, matogo, furu, mapera, mbilu matunda yote yanaivia kwenye mti sio huko mnavundika...
Alizeti OLIJINO kabisa, kwa ujumla maisha sio mabaya sana. Tutapata wa kuelewana nao hukuhuku wa kaliba yetu.
Kama uko tayari nikutafutie mtoto wa kikurya akufute machozi
Furu.Mate yamejaa ngoja niende porini ntarudi
Asante ndugu yangu[emoji7] [emoji7] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Asante makaveli,naipenda avatar yako
Mnaongeaga lugha gani?
Mimi tena?Kwani na wewe unayapata mambo yetu?
NasubiriAaaaaah! Naomba nisitie neno. Ila mambo yakiwa magumu ntaitafakari hiyo offer na kukujulisha.
Hakika ni ngeni kwanguInaitwa eksiteno chaneli
Mimi tena?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]loooh naona umeamua kutupaaa madongee pambana tu mkuu hakuna namnaBakieni huko huko na hao watu wenu wa chips mayai. Sie tunagonga mapama, matogo, furu, mapera, mbilu matunda yote yanaivia kwenye mti sio huko mnavundika...
Alizeti OLIJINO kabisa, kwa ujumla maisha sio mabaya sana. Tutapata wa kuelewana nao hukuhuku wa kaliba yetu.
Amfute machozi au ampe machozi!!.. Inabidi aende kozi ya utayari miezi mitatu kwa rashidi matumla, aongeze juhudi za kuangalia movie za jack chan, statham, boyka n.k ndani kwake asikose cd za kina tyson, muhammad ali nakadharika.Kama uko tayari nikutafutie mtoto wa kikurya akufute machozi
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]loooh naona umeamua kutupaaa madongee pambana tu mkuu hakuna namna