Noel Ngiama Makanda
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 1,782
- 3,103
I'm okay now babe, really okay!! Nilikuwa kwa party nimeruka magoma kama yote, nipoje poa!? [emoji23]
😂 😂Kwa hiyo miguu utakuwa na kishunduu. Sipati picha ule wimbo wa Yope, hasa hasa ile part ya mama dangoteee
[emoji23] [emoji23]
Crazy you Noeh'.. Sijui hata huwa mnawazaga nini, btw, ukiskia flat ama screen ndo hii niko nayo..
don't get twisted..!!
Muogope Mungu
Anaishi maisha ya furaha na amani kwenye ndoa yake
Nipo under surveillance[emoji23][emoji23]Anataka kutuzingua kuwa yeye ni flat Wahindi wakasome [emoji3][emoji3][emoji3]
Hongera kwa kuoa
[emoji23][emoji23][emoji23]ulikwepo kwenye harusi?
Najua kunawatakao sema ni id yangu nyingine nilijifungulia uzi eti kwa sasa nimesahau password [emoji23]Huu Uzi jamani memiss joliejolie Mimi..[emoji17]
Nilishika mguu
Haha..!!Anataka kutuzingua kuwa yeye ni flat Wahindi wakasome [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umenishinda hado mimi?Najua kunawatakao sema ni id yangu nyingine nilijifungulia uzi eti kwa sasa nimesahau password [emoji23]
Haha..!!
Unalijua umbo No. 9 vizuri lakini mkuu??
Poor Me..!!Hahaha, silipendi hilo umbo ,niwe mkweli tu [emoji3][emoji3][emoji3]
Poor Me..!!
Ndo ushanikosa hivyo maskiini..!!
Nikiangalia picha yako uliyonitumia PM kwa ID yangu ya zamani, naona kabisa mtoto kama umechongwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanazengo hawaishi neno eti...wakija na yao wapotezee tu Shem wangu muhandsham
Unanitafuta maneno Noeh' naona..!!Nikiangalia picha yako uliyonitumia PM kwa ID yangu ya zamani, naona kabisa mtoto kama umechongwa
Unanitafuta maneno Noeh' naona..!!