Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,806
- Thread starter
-
- #101
Hatari sanaYaaanii
Jichagulie tu wewe mwenyewe,lolote tyu lafaa
Mbona nilishakuja shem
ShemMmmmh
Muanzishie wewe shem wetuLeo mahaba tu jamani. Sijui na mie beb atanianzishia uzi
hongera mkuu,ukipata chance we jilie vyako tuu maisha yenyewe yako wapiKama saivi yko moto kweli kweli
[emoji23] [emoji23] anhaaaa nimekuelewa southernYan nlimaanisha mtu ambye nakutana maye mtandaoni ni kazi kwangu kumuamini. Unaweza kwenda piemu kumbe dume linakuchora. So mi mambo ya mtandaoni hapana.
Ndo uamini sasa mm mukee ya mgangaaaHapa sasa tumepoteana mke wa mganga
Ngojaaa nimtafutee shemej wapi amecommentMambo ni fireeeee
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nasubiria na mimi siredi yangu.[emoji42]Shem
Wakati tunaishi mara moja tuhongera mkuu,ukipata chance we jilie vyako tuu maisha yenyewe yako wapi
Comment chochezi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muanzishie wewe shem wetu
Sikua nimeona shemMbona nilishakuja shem
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ntakuwezea wapi malkia wa kilingeNdo uamini sasa mm mukee ya mgangaaa
Aanze kwanza bwana. Leo nina mood ya kuelezewa kupendwaMuanzishie wewe shem wetu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Comment chochezi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]hakuna kama mm nimewezaa kumlogaaa mgangaaa makubwaaaa yanipasaa nipate tuzooo[emoji23] [emoji23] [emoji23] ntakuwezea wapi malkia wa kilinge