Mahabaaaa motoooKaja
Ngoja nimsake kwanzaNasubiri ututambulishe shem wetu
hahahahahaNdio ndio tafuna mifupa kama meno bado iko
La mahabaHatarii tupo kweny dimbwi nzito
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Leo mahaba tu jamani. Sijui na mie beb atanianzishia uzi
Hahaha umefanya nimechekaSawa wifi
ameshaanza na yeye kupaa usikuKashakua malkia wa kilinge uyo
Nimekuja kuuHazard njoo huku haraka mambo ni fayaaa
Nampenda hazard natamani niyasimulie hadi maweMahabaaaa motooo
Kwanini sasa?Hahaha umefanya nimecheka
Kule love connect wapo wengiNgoja nimsake kwanza
[emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350]Ujumbe kwako kipenzi cha roho yangu hazard,mwanaume nikupendae kwa dhati.Mwanaume ambaye sijawahi kuacha kukuwaza.Wewe ni zaidi ya mwanaume,hakuna mwanaume yeyote duniani anaweza kunielewa zaidi kama unavonielewa wewe.Ni moyo wangu pekee ndio una uwezo wa kukwambia ni jinsi gani nakupenda,maneno yangu pekee hayatoshi kuelezea ni kwa jinsi gani nakupenda.Natamani niwe nimekutana na wewe tangu zamani.
Nakuelewa sana Hazard wangu,na haka kawimbo kawe special kwako,kila unapokasikia ujue kanauwakilisha moyo wangu kwako
I love you so much my baby
Wakija wengine kukuelezea hayo je?Aanze kwanza bwana. Leo nina mood ya kuelezewa kupendwa
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Leo kazi ipo. Hivi mnakulana kweli au ndo mnapakana tu mafuta kwa mgongo wa chupa
Nitalala vizuri kama nimekula kitimoto na HeinekenWakija wengine kukuelezea hayo je?
NimekujaaNgojaaa nimtafutee shemej wapi amecomment
Nipooo mamiiiHivi Hazard nae hajaja eeh
Kwema mndali?[emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350]
Asante mkuuHongereni
Nilikua nakusaka ujeNipooo mamiii