Leo tarehe 15/2/2022 mmetoa tena salary slip nyingine za January.
Deni la bodi ya mkopo limerudi kama zamani wengine limeongezeka.
Deni LA benki limerudi tena vile vile inamaana watumishi hawajalipiwa mikopo na serikali?
"Tunahitaji katiba mpya itakayokidhi mahitaji ya sasa"
Deni la bodi ya mkopo limerudi kama zamani wengine limeongezeka.
Deni LA benki limerudi tena vile vile inamaana watumishi hawajalipiwa mikopo na serikali?
"Tunahitaji katiba mpya itakayokidhi mahitaji ya sasa"