Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
HAZINA NILIYORITHISHWA NA MWALIMU WANGU MZEE KISSINGER
Wanafunzi wote duniani hurithishwa hazina ya ilm katika vitabu na mfano wa hivyo kutoka kwa walimu wao baada ya walimu wao kuondoka duniani.
Mimi mwalimu wangu Mzee Kissinger kanirithisha maktaba yake mwenyewe yu hai pengine akichelea mmoja wetu asije kutangulia na ile hazina ikaanguka katika mikono siyo.
Mwalimu wangu akanirithisha hazina ya Maktaba yake wakati sisi sote tu hai tena miaka mingi iliyopita.
Naandika maneno haya huko machozi yananinyemelea machoni pangu.
Siwezi kumlipa mwalimu wangu kwa hisani hii kwani gharama yake ni kubwa mno huwezi kuipima ukaiwekea thamani.
Nitaweka machache kutoka Maktaba yangu hii ambayo waandishi wa Wasifu wa Julius Nyerere wameisifia kwa kusema ni kati ya maktaba bora walizoona katika utafiti wao wa historia ya maisha ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Wanafunzi wote duniani hurithishwa hazina ya ilm katika vitabu na mfano wa hivyo kutoka kwa walimu wao baada ya walimu wao kuondoka duniani.
Mimi mwalimu wangu Mzee Kissinger kanirithisha maktaba yake mwenyewe yu hai pengine akichelea mmoja wetu asije kutangulia na ile hazina ikaanguka katika mikono siyo.
Mwalimu wangu akanirithisha hazina ya Maktaba yake wakati sisi sote tu hai tena miaka mingi iliyopita.
Naandika maneno haya huko machozi yananinyemelea machoni pangu.
Siwezi kumlipa mwalimu wangu kwa hisani hii kwani gharama yake ni kubwa mno huwezi kuipima ukaiwekea thamani.
Nitaweka machache kutoka Maktaba yangu hii ambayo waandishi wa Wasifu wa Julius Nyerere wameisifia kwa kusema ni kati ya maktaba bora walizoona katika utafiti wao wa historia ya maisha ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.