HBD General Msuguri Miaka 103

Hawa ndiyo 'wasomi' wa sasa wa Tanzania tunaowategemea.Ukija kuchunguza elimu zao utabaki umeduwaa,twende nao tu hivyo hivyo Mkuu.
Maskini hujui usemalo wala hujui ulijualo maskini. Huwezi kupayuka nasi tukameza utopolo.
 
Guesswork haina maana ya kwamba ni primitive, dunia yetu ya sasa pia inaendeshwa na guess work, ndiyo maana kuna mambo ya analytics
 
OK fine tukubaliane na wewe but unataka kuniambia huwezi kukadiria umri wa MTU below 18yrs?
Mlipokuwa mnashikishwa masikio kabla ya kuanza shule unadhani walikuwa wanapima kama una masikio marefu?
Pia kuna kipimo kingine local cha kuangalia meno kinywani(idadi).

Nywele kwapani.18yrs and below
Mavuzi. 18yrs and below
Hivyo ni baadhi ya vitu unavyoweza kukadiria umri wa MTU kwa usahihi au angalau +5 or -5.
OK in this case nadhani msuguri anaweza akawa na 98yrs au 108yrs yote yanawezekana.
 
Guesswork haina maana ya kwamba ni primitive, dunia yetu ya sasa pia inaendeshwa na guess work, ndiyo maana kuna mambo ya analytics

Primitive or otherwise, angalau tunakubaliana hizi tarehe ni wild guesses. Nobody knew how old they were.

Hawakuweza kusoma na kuandika. Na wangejua kusoma na kuandika wasingejua ni siku gani ya kalenda. Hawakuwa na jinsi.
 
Magufuli is dikeing now bikoz he dani badi to pipo ze inglish is of magufuli himu selifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…