vkeisy2006
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 229
- 99
wewe mwenyewe kiswahili ulichoandika bado ni kituko kitupu rekebisha wewe kwanza hiyo mada ndo umtuhumu mwingine,acha uswahilikumbe kiswahili bado ni ishu kwa waswahili wenyewe nacheka coz ya yule raisi wetu mmoja nasikia ni mtu wa kusini..... aliemaliza awamu yke kabla ya huyu ......eti kaenda kumtembelea baba wa taifa anarudi pale uwanja wa ndege anahojiwa anasema HALI NILIYOKANKUTA NAYO BABA WA TAIFA......HIVI HICHI NI KISWAHILI KWELI?au mi ndo sielewi....
kumbe kiswahili bado ni ishu kwa waswahili wenyewe nacheka coz ya yule raisi wetu mmoja nasikia ni mtu wa kusini..... aliemaliza awamu yke kabla ya huyu ......eti kaenda kumtembelea baba wa taifa anarudi pale uwanja wa ndege anahojiwa anasema HALI NILIYOKANKUTA NAYO BABA WA TAIFA......HIVI HICHI NI KISWAHILI KWELI?au mi ndo sielewi....