Mamboz!kuna ctuation hapa:watu wawil wanaopendana bt the boy z 24 n the gal z 24 pia...their both graduates n wanafanya kazi:kinachomcmbua mwanamke ni je kutakua na ndoa kweli hapo? n kama ikiwepo imagine the gal atasubiri miaka mingap mpk aje kuolewa na kama 2navojua wanaume wanavochelewa kuoa ckuhizi...ni ctuation imempata mtu hiyo n inamtatiza haswaa...