He is 24 n she z 24...kutakua na ndoa kweli hapo!?

He is 24 n she z 24...kutakua na ndoa kweli hapo!?

Qt B

Member
Joined
Jan 26, 2012
Posts
78
Reaction score
4
Mamboz!kuna ctuation hapa:watu wawil wanaopendana bt the boy z 24 n the gal z 24 pia...their both graduates n wanafanya kazi:kinachomcmbua mwanamke ni je kutakua na ndoa kweli hapo? n kama ikiwepo imagine the gal atasubiri miaka mingap mpk aje kuolewa na kama 2navojua wanaume wanavochelewa kuoa ckuhizi...ni ctuation imempata mtu hiyo n inamtatiza haswaa...
 
kwani tatizo liko wapi hapo.......?

..hofu ya kuchelewa kuolewa n maybe anaeza akasubir then mwanaume akagair while ye atakua keshaenda age sana,itamcost...
 
Mbona hamna tatizo hapo? Mbona mimi nilimwoa mke wangu akiwa 34, na hapo alikuwa amefanya kazi kwa miaka 9. Ndoa sio umri bali ni upendo wa kweli na maelewano basi
 
..hofu ya kuchelewa kuolewa n maybe anaeza akasubir then mwanaume akagair while ye atakua keshaenda age sana,itamcost...
Tatizo lenu vijana wasiku hizi mnakimbiliana kufanya ngono watu ambao hata hamjui wana nia gani na nyie, kama mngekuwa kama wakati wetu ambapo hakuna kugusana mpaka baada ya ndoa kusingekuwa na tatizo, maana mtu hata asipokuoa si bado uko pure una wasiwasi gani, na isitoshe Mungu anakuwa upande wako maana hungemkosea na wakati unapofika anakupatia wa kwako. SASA HUYO DADA KAMA ANAWEZA KUJITUNZA ASIWE NA WASIWASI NA HUYO AGEMATE WAKE, AHAKIKISHE ANAMPA TUNDA SIKU YA NDOA NA SIO VINGINEVYO
 
..hofu ya kuchelewa kuolewa n maybe anaeza akasubir then mwanaume akagair while ye atakua keshaenda age sana,itamcost...

uyo dada ana mawazo ya kitoto.ajakua.
so anataka kufanya uamuzi wa kuolewa na mtoto kisa anahofu ya kuolewa?DAH ET MTU MWENYEWE ANA MIAKA 24..nan alimwambia kuwai kuolewa ndo dili?..nan alimdanganya HAKUNA MAISHA BILA NDOA?


mwambie atulie....kuolewa the same age ni hatar mbelen...utazeeka wakat mwenzako akiwa yank na kuanza kurun na vschana uko nje kwa kukuona wewe ajuza....apo utaumia moyona utajiunga kanisa la kakobe bilakupenda

wanaume weng wanachelewa kukua/kumature so kuwa na mtu wa miaka 24 ni sawa na kuwa namtu wa miaka 22 kifikra so apo tegemea mizozo isokwsha...cz AJAKUA BADO MWANAUME WA KUJUA YOUR POSITION NA POSITION YAKE....BT ukiolewa na aliyekuzid umri eg miaka 4 ,5,6 hali inakuwa shwar cz at least anajua position yake na ivyo migongano ya kila mtu kutaka kuonyesha mkubwa zaid ya mwenzake inakuwa imepungua
 
Mi nina 37yrs na wangu 36 na tuna mpango wa kuwowana maana tunapendana.
 
sioni tatizo hapo, kama wanapendana waweza kufunga ndoa.

baadhi ya wanaume huchelewa kuoa ili wajipange kimaisha bcoz wadada wengi wasomi siku hizi hawapendi mwanaume lofa
 
Inayoona miaka au watu...as long as is above 18, ruksa!
 
Huyo dada wala asiwe na hofu..Haya maisha ya mahusiano hayatabiriki hata kidogo..Anaweza akawa na 24 akampata mkaka wa 32 na vile vile asiolewe naye.. Cha muhimu hapo ni mapenzi ya dhati na suala la kulingana umri wala sio ishu.! Kama ana sababu nyingine aseme..
 
ka ni ivo mwanaume aende akafoji cheti cha kuzaliwa aonekane ana miaka 28 au 30.
 
kwani ndoa ni umri? Kama yeye anataka umri, aje mtaan kwe2 wapo wa 40+
 
Nothing is an issue unless you make it an issue then it becomes an issue no matter how small of an issue it is...

Kwahio kama wanaona mambo madogo madogo hayo kwao ni tatizo then ni tatizo.., kipenda roho na watu tupo tofauti, ila uzuri kuna choice hivyo ni kuchagua kila unachopenda na kuona kipo sawa
 
..hofu ya kuchelewa kuolewa n maybe anaeza akasubir then mwanaume akagair while ye atakua keshaenda age sana,itamcost...

Si amuulize huyo boyfie, mpango wake wa baadaye?
 
..hofu ya kuchelewa kuolewa n
maybe anaeza akasubir then mwanaume akagair while ye atakua keshaenda
age sana,itamcost...

Sasa si amuulize huyo mkaka yeye ana mpango wa kuoa lini then atajua kama anaweza kusubiri au la.
 
Asanten wapendwa:msgz zenu zote zmemfikia mlengwa,sasa final decision imebaki kwake mwenyewee na mupenz wake...
 
Back
Top Bottom