Habari za jioni waungwana. Rejea kichwa cha habari . Nasumbuliwa sana sana na ugonjwa huu. Niliupata miaka 4 iliyopita nikivyoenda kunyoa kwenye kwa kinyozi. Nimetumia dawa kama amolg skin disease,sulfur8, rutuba jelly etc.
Nishaenda hospital sana lakini bado hamna mafanikio. Je kuna ushauri au dawa yoyote itayonofaa!! Shukran
Sent from my IPhone using Tapatalk