Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini mkuu usisahau vita ya Ukraine na Russia imepandisha bei, kila kitu kitapanda bei !Hakuna madhara yoyote.
Jambo la pili, usije kuibiwa, bei haidizi 10k.
Hilo nalo mkalitizame
Hili nao naomba ukalitizame😂Lakini mkuu usisahau vita ya Ukraine na Russia imepandisha bei, kila kitu kitapanda bei !
Mkuu hii inapatikana wapi?This what I use for permanent head light restoration..hiki ndo natumia kusafisha taa zangu permanently..ukiona hapo chini kuna UV block and clear coat...hicho ndo kinatakiwa kwa matokeo yanayo dumu kwenye taa za gari yako..na si kutumia scratch remover, or hizo njia nyingine zina haribu taa.View attachment 2335566
Ninauza mashine ya kisasa ya kusafisha taa za gari ni mpya kabisa kwa bei nafuu...Mkuu hii inapatikana wapi?
Mbona unauza bei sana? laki nane na nusu mkuu sidhani kama ndio bei yake.Ninauza mashine ya kisasa ya kusafisha taa za gari ni mpya kabisa kwa bei nafuu...
Hiyo mashune ni suluisha la uchafu wa aina yoyote wa taa za gari unaweza kuitumia kwa matumizi binafsi na kwa ajili ya biashara
Kwa mawasilian NO 0659645794 AU 0628462722View attachment 2456566
Binafsi nawakwepa sanaNi hivi hizi headlights huwa na UV layer ambayo kazi yake ni kulinda headlights zisi oxidize (zisi tengeneze ukungu), sasa unaposafisha taa zako kwa njia yoyote kama hizi (kusafisha kwa kutumia scratch remover,
Hizi ndo mashine zinazo ua taa za watu, yet hiyo price is below 800kNinauza mashine ya kisasa ya kusafisha taa za gari ni mpya kabisa kwa bei nafuu...
Hiyo mashune ni suluisha la uchafu wa aina yoyote wa taa za gari unaweza kuitumia kwa matumizi binafsi na kwa ajili ya biashara
Kwa mawasilian NO 0659645794 AU 0628462722View attachment 2456566
Sio laki nane mkuu ni laki mbili tu na nusu 250,000/=Hizi ndo mashine zinazo ua taa za watu, yet hiyo price is below 800k
Laki mbili na nusu 250,000/= nitafute kwa No 0628462722 au 0659645694Mbona unauza bei sana? laki nane na nusu mkuu sidhani kama ndio bei yake.