TIPS MUHIMU KWA AFYA YA UBONGO
Afya ya mwili huweza kujengeka kwa kufanya mazoezi kama kukimbia , kubeba vitu vizito n.k
Hivyo basi afya ya ubongo hujengeka kwa kufikirisha(thinking) bongo zetu na kuepuka kufanya mambo hatarishi yanayo dhuru uboongo,
Ndio maana asilimia kubwa ya wasomi huwa na mawazo mazuri au fikra pevu kwa sababu walitumia muda mwingi kusoma na baada ya kumaliza masomo hujijengea mazoea ya kujisomea,
PITIA HAPA CHINI HIZO TIPS.