Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Kwa maelezo zaidi fungua hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unachemsha na kunywa supu mkuuTunayalaje sasa, napika au nakula mabichi tu kama sungura?
wanaita Rozella..kwa dawa nzuri ya anemia ni majani flani huota maeneo tunayoishi huwa ina viua vyekundu ukikinyonya kina utamu hivi.kila mtu ashachezea utotoni huwa ina kaduara flani.ukiichemsha hiyo unywe wiki tu.damu itajaa hadi ukaigawe hospitali