Healthy tip that will blow your mind!

kwa dawa nzuri ya anemia ni majani flani huota maeneo tunayoishi huwa ina viua vyekundu ukikinyonya kina utamu hivi.kila mtu ashachezea utotoni huwa ina kaduara flani.ukiichemsha hiyo unywe wiki tu.damu itajaa hadi ukaigawe hospitali
 
Awww! Nitajaribu thanks for sharing.
 
Mkuu nikiweka chumvi je katika hiyo supu ntakuwa nimeharibu tiba?
 
kwa dawa nzuri ya anemia ni majani flani huota maeneo tunayoishi huwa ina viua vyekundu ukikinyonya kina utamu hivi.kila mtu ashachezea utotoni huwa ina kaduara flani.ukiichemsha hiyo unywe wiki tu.damu itajaa hadi ukaigawe hospitali
wanaita Rozella..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…