Heart broken again


mhhhhhhhhhhhhhh
 
thanz Gaga.haka kakipindi kashetan.real jana sijalala kabisaaaaa.yaan nnajipa moyo ingawa inauma mbaya,ikibidi niweke kwenye maombi coz mambo yangu hayaendi kabisa leo
 
Pole sana Kiongozi,
"Time will heal all the wounds"
 
watu wanakataliwa palepale kanisani mbele ya mtumishi wa bwana,shukuru wewe angalau umejua mapema.
 
I know exactly how you feel...pole sana Masaki, Mola akutie nguvu!!

The song 'Someone like you by Adele' give so much hope, joy and feeling that someone can always love/be loved again despite 'brokenheart'..

Here is the chorus;

Nevermind, I'll find someone like you.
I wish nothing but the best for you too.
Don't forget me, I beg, I remember you said:-
Sometimes it lasts in love but sometimes it hurts instead
Sometimes it lasts in love but sometimes it hurts instead, yeah.


P'se listen to that song!!..Take good care of yourself and be brave!!
 
Pole,usijali wewe sio wa kwanza wala sio wa mwisho,maisha yaendelee!
 
pole kaka yangu. Huu ni wakati wa kurudi magotini na kumwangalia Mungu mana my bible says kila chozi litapimwa na pia Mungu asema atakuwa shahidi wa mke/mume wa ujana wako. Mshukuru Mungu kwa hayo yote na mwambie unataka mwenza mana mke mwema atoka kwake, usitumie akili wala nguvu zako mana yupo yeye anayetaka tumtwike fedheha zetu. Mungu akutunze
 
Kwenye mahusiano yetu mimi nina mikono misafi kabisa...Tamaa zake tu za kupenda mambo makubwa. Hawajui wanaume yule....! Ataachwa mchana kweupe akishachokwa!

Asante sana BAK! Honestly, its 4:46am here in Dar now and I can't sleep! My heart is crying!

Masaki................ I have quoted hizo post hapo juu makusudi.......ya kwanza inamaanisha SHE DOESNT DESERVE YOU AT ALL- Kama umegundua ana tamaa na anapenda makuu ni wazi HAKUFAI na hata muda huo uliokuwa naye HAKUDESERVE kuwa nawe. Mshukuru MUNGU amekuonyesha mapema kabla hamjafunga kitanzi. Stop crying and stand up, hold your head and face up move on..I know you can.
 
Maskini kuna nini tena mtu wangu...hee toka miaka ile mpaka leo mtu anatokea na kuuvunja moyo wako Lol
Mungu ni mwema piga moyo konde yupo aliyeandaliwa maalum kwa ajili yako
I am deeply sorry!
I am deeply so sorry!!!

Mimi nilipoachwa baada ya dating ya miaka 3 bila kuonja nilijitungia ka poem ka kujipoza..........


FORGET NOT THIS!
Forget not this, for so​
Such heavenly joy I had, gave me pain​
The life I thought could be, is death​
The little love I have now is hate;​
Forget not this!​
Forget not this; as though​
Such great travail I paid is dead​
A hundred kilometers to the airport​
The phone melodies to the dark, the police at gate;​
Forget not this!​
Forget not yet, the the true love I had, none can​
The heart with such lively true intent;​
From Kigoma to Mbeya through telephone​
Shinyanga to Dar es Salaam on foot​
Forget not this!​
Forget not yet when first we met​
The sweet life I had, since then​
The love, the care, never will you find;​
The tenderness I gave, all in vain!​
Forget not this!​
Forget not yet the first kiss at Mbezi​
The hug, the writing on my palms​
The promises, the New Year wishes​
The whip, the wound below thine eye​
Forget not this!​
Forget not this, the sweet poems I wrote​
The soft voice, tender whispers, the beautiful eyes​
The painful patience in vain​
What wrong did I done?​
Forget not this!​
Forget not then when said you love me forever​
How long is it now, and will be?​
To hurt the mind that to you never meant amiss​
Of whoso loved you and you give him pain?​
Forget not yet:​
28/03/2005​
Dar es salaam, Tanzania.​
 
Masaki naomba huo msitari wa kwanza kwenye post yako niuweke uwe signecha yangu please?
 
Nakumbuka sana wimbo wa "West Life" Fool Again
Inauma sana Aisee, Mkuu Masaki yatapita tu haya na Tazama Ya kale Yatakua Mapya!
Stop Crying, standup and Move On!!
 

Asante Aspin kwa kunipa moyo. Maisha yanatakiwa yaendelee and I am keeping my feet on the ground ili nisitetereke! Ni bora yametokea kabla sijajitia kitanzi cha ndoa ya Kikristo!
 


Pole sana masaki!
Amini Mungu anakupenda sana na acha kulia hapo kwenye red hujui Mungu amekuepusha na nini...
Fikiria ANGEAMUA KUFANYA HIVYO baada ya ndoa ingekuaje???
Huyo hakua mke wako na hakua akikupenda kwa dhati....... mwombe Mungu akupe wa kufanana nae.
 
Pole sana masaki, katika maisha ni kawaida kutendwa ni wengi tu wamepitia huko na imekuwa kama ka mchezo huyu anamuumiza huyu, yule nae anaumiza kule basi tu mradi vurugu. Chukulia ni sawa sawa na kuumwa malaria yaani sio kitu cha ajaaaaaaaabu. Jichanganye na marafiki usipende kukaa peke yako utaona baada ya muda mfupi hiyo hali itapita.
 
Pole.. ila kabla ya kumtupia lawama moja kwa moja huyo mchumba wako, ingekuwa vyema ukajiangalia na wewe mwenyewe upya. Isije kuwa una vijitabia visivyovumilika sasa mtu anaona kuliko kuingia ndoani, ni bora nusu shari kuliko shari kamili. Huwa kuna watu mabingwa wa kutupia lawama wenzao kumbe ukichunguza kwa makini unakuta wenyewe ndo chanzo cha migogoro yote.
 

Ushauri wako ni mzuri. Nashukuru sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…