Pole sana masaki, katika maisha ni kawaida kutendwa ni wengi tu wamepitia huko na imekuwa kama ka mchezo huyu anamuumiza huyu, yule nae anaumiza kule basi tu mradi vurugu. Chukulia ni sawa sawa na kuumwa malaria yaani sio kitu cha ajaaaaaaaabu. Jichanganye na marafiki usipende kukaa peke yako utaona baada ya muda mfupi hiyo hali itapita.
...mnnh, maty katika mifano yote umeona malaria kwakuwa yasababishwa na mbu? Haya bana. Bro masaki, 'there is always a light at the end of a tunnel'...ipo siku utakuja shukuru breakup hii ilitokea june 2011. Everything happens for a reason.Pole sana masaki, katika maisha ni kawaida kutendwa ni wengi tu wamepitia huko na imekuwa kama ka mchezo huyu anamuumiza huyu, yule nae anaumiza kule basi tu mradi vurugu. Chukulia ni sawa sawa na kuumwa malaria yaani sio kitu cha ajaaaaaaaabu. Jichanganye na marafiki usipende kukaa peke yako utaona baada ya muda mfupi hiyo hali itapita.
kuna kiti kuhusu wanawake ni very ajabu
ukijaribu kum protect ndio atazidi kukuumiza
sometimes its better to treat a w.h.o.re like a w.h.o.re
trust me,
ukiendelea kumjali atakufanya kama babayake...hivi
wengine watachezea,halafu wewe ndo utakuja to pick up the pieces..
Dah! Pole sana masaki bt amini yote yanapita2 utasahau na utapata m2 atakayekupnda kiukweli na hatokuumiza kamwe! Pole sana Mungu akusaidie pia.
Pole sana!
My advice might not be very good, but probably will help you next time you fall in love....keep room/one door open for disappointment... you might need it one day!
All in all, life has to go on my brother...
Wawe na busara ya kutambua na kuheshimu hisia zilizopo kwenye mioyo ya wenzi wao! Four years in a relationship have vanished in matter of few days! Worse enough na tarehe ya harusi ilishapangwa. I AM HEART BROKEN AGAIN!! For the second time!! Last time was 2005, I wasted so many years trying to recover and also learn to trust women again. It took time and eventually my heart was softer enought to love again! Now see what I have got from a woman tonight! NOTHING BUT PAIN!!
Thank the LORD 4 THE ABUNDANCE OF EVERYTHING.....................God is trying to tell u something but the question is are you listening?
Do not worry about how many relationships have flopped but consider the pain of marrying someone who is going to hurt you for the rest of your days,,,,,,,,,,,,,,,,,,better face the pain 2day and learn how to cope with the loss rather than having been forced to endure rejection with someone whom shares your bed on daily basis........................and there are many of these despicable characters out there.......
Usiwe na tabia ya kuwaombea ma-ex..............bad luck but wish them a happier ending like in Hollywood movies...............................usipofanya hivyo inaashiria ya kuwa umewawekea kinyongo ambacho kitakuumiza wewe badala ya mlengwa ambaye ataendelea na shughuli zake bila ya kujua majonzi yako........................