Mimi nauza heat press pamoja na vifaa vyote vya kuprintia mug, kofia na sahani za size ndogo na kubwa pamoja na Epson L3111 vyote kwa Tshs laki saba (700,000/=). Nina hitaji muhimu sana nataka pesa.
Pamoja na hivyo, nakupatia baking paper maalum kwa ajili ya kufanyia transfer kwenye material unayoprint.
Nahitaji pesa by kesho.