Heaven on desert (kifesi) nawasalimia

Heaven on desert (kifesi) nawasalimia

heaven on desert

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2013
Posts
1,025
Reaction score
393
Pasipo na Shaka my wazima nyote...me mzima kabisa naendelea kurutubisha ujana..kuna mtu naona kanikumbuka humu
imenibidi niitafute paswed tena.... kitambo SNA siingii tena humu kuchangia but napitaga tu mara moja moja kuona watu wanasema nini kuhusu boss wangu na team yetu kwa ujumla ili tujue makosa yetu na mazuri yetu na wapi pa kutengeneza..

Na reason ya kuwa kimya n sababu ya kazi. Niko busy na kazi masaa 24 na kwa position nliyonayo kila siku nakutana na opportunities mpya so kazi zinazidi kuwa nyingi..ukiachia mbali kazi ya kupiga picha but u publicity c kazi ndogo..kiukweli kabisa nawamisi nyie watu. Mlokua mkinibeza..mlokua mkinishambulia kunitukana na mlokua mkinikubali since day one akiwemo dinazade..

But now days Niko zaidi Nimalize kwa kusema kuwa..katika Maisha say no to kukata tamaa ..usijali nn mtu anaongea kuhsu wewe. Ukiamua kuamini kitu kiamini usibadilishwe na mtu..enzi hizo kipindi namtetea mond hats ckua na kaz nlikua mhitimu tu Wa chuo kzi hazisomeki...lakini Leo naishi maisha nikiwa wandishi na
official photographer Wa mwnamziki mkubwa Africa. Nikiishi opportunities nyingi nilizokua naziota tu ..na zaidi nikijenga Maisha yangu kuwa Maisha ninayotaka hata waliokua wakiniponda usikute wengi ndiyowale nikikutana nao wanaomba tupige ka selfie.

Kama unanimiss Ukita we nifate kwa page yangu ya IG Kifesi ambayo last year ilikua na followers wasiozidi elfu 2 now 40,000.

By the way, karibuni sana Zari all white party may, japo tickets za millions zishakwisha za 50elfu na laki zitaanza kuuzwa tarehe 27.

DSC_2676.JPG
Screenshot_2015-04-20-14-38-32-1.png
 
Duh, salamu si salamu, mabango si mabango, mie sikuelewi....basi sawa, dunia uwanja was fujo na hizo ndo fujo zako....
 
Sio umeona mtu katoa uzi wa kukusifia ndo umekuja? kuwa muwazi ndg sidhani kama umetokea kibahati mbaya.
 
ha ha ha ha .....


Piga kazi Kifesi,
Unajitahidi sana sana.
 
salamu na mabango yote mema ndo maisha. mpe hi dangote maana kwa context ya stor upo hukooooo kwa mzee wa totoz kali kali.
 
Le kisula real love...tumekumith pia@ heaven on desert
 
Back
Top Bottom