Heaven on desert mbona hukusema ulivyotukanwa na mashabiki wa wema baada ya wewe kumdhihaki wema?

C.T.U

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2011
Posts
5,074
Reaction score
3,743
HEAVEN ON DESERT KAMA ANAVYOJIITA KIFESI ALIJIKUTA KWENYE WAKATI MGUMU BAADA YA KUTUKANWA NA MSHABIKI MNAZI WA WEMA SEPETU ANAYEJULIKANA KWA JINA LA DOGYMASTER

HAYO YAMETOKEA KATIKA MTANDAO MAARUFU WA INSTAGRAM BAADA YA KIFESI MAARUFU KAMA HEAVEN ON DESERT KUMTUKANA WEMA KUWA NI CHA WOTE

HALI ILIYOPEEKKEA WAFUASI WA WEMA KUMJIA JUU NA KUANZA KUMPA MBOVUMBOVU KAMA INAVYOONEKANA HAPO CHINI




Mfyuuuuuu bibibomba Akiniblock ananiogopa @nampendawema






mwatumu37 Hehehehehehehe mweeee umeona diana kisuruali hihihi hi viguuuu loooh hatareeeeeeee @nampendawema. @clarahcut3. @candy_sarah. Yaani nilivyoona nilicheka sana dah

mwatumu37 Au anatembelea mikono @nampendawema

nampendawema @bibibomba akuogope ww mbwa koko doko haung'ati unabweka tuu coz hunajipya huna cha maana unachokifanya humu unatuletea arufu na mafua yko ya ndege kwaiyo inabidi aku block ili usituambukize na pia nyie nimarufu sana kublock kwikwikwi sasa na ww u blockiwe tuu mbwa koko

supermariano11 I lv u #dougiemasta12

drcarinyo120 Kumalamako bibi bomba

flowermegal Huyo msengelengeke katokea wap huyo ka chupio anaokotwa tu ---- huyo mtoto mlain ka nn mtafutien bwana naona kwao mabasha hamna ---- huyo akazwe mbele ***** flowermegal Masta mtoe full pic huyo tumsaminishe maana naona anasandia tren kwa mbele atasagwa huyo mbwa wa sokon anakomba kila pahala nyang'au huyo @dougiemasta12

flowermegal *anadandia

rahmakova @lilybeibe

2013naa @dougiemasta12 hahaha kamanda Huyo ki nyoko@kifesi mbona ile comment imefutwa???---- LA mama yako kifesi yani side name we we bifu bado lipo uptake usitake umelianzisha mwenyewe..------ wako

2013naa wemalicious12 Kamanda huyo wemalicious12 Kamanda huyo wemalicious12 wemalicious12 irinakoronova Kifesi kifesi kifesi nikikuchamba nitakeshaa,endelea kufua boxaa

mrsshaabani1000yrs Asantee kamanda Gog u bless @dougiemasta12

wemarohoyangu twna janaume zima

cylviamtallo Kama cha wote ajaribu aone kama atampataaa. Nyooooo amuachee mademeeeee
 
Last edited by a moderator:
Ni ngumu kweli kuelewa hii kitu, unless nimpate mtu nikae nae chini anifafanulie vizurrrr
 
Hao nao ni wanawake au wanaume??kama waimba taarabu??
 
Hakuna mlango huku
Ukiingia hutoki

Haaahaa nikichangia hapa ntaitwa "hater" bure bora nionyeshwe mlango nitoke,ila ninong'oneze kwa hiyo uyu jamaa alikua anamtuka mke wa bosi wake ndo mashabiki wa shemeji wakamjia juu usimwambie mtu lkn kimya2
 
Ni ngumu kweli kuelewa hii kitu, unless nimpate mtu nikae nae chini anifafanulie vizurrrr

Kama uko serious na maisha kamwe huwezi kuyaelewa mambo ya kipuuzi kama haya ndio maana mimi hata hiyo instargram sinaga account huko licha ya kuwa na hiyo application kwenye simu yangu.
 
shiiiiiiit sijui kwa nini nimefungua hii stread
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…