Thank you Love........
Ni vibaka tu au? Maana kuna siku alizinguana na mtu humu na yule jamaa akamwambia anamjua na hadi chuo na kozi aliyosoma pale udsm. Tuanze kumuhoji huyo member kwanza
My very dada!!!!!!
Mungu akupe ahueni ya haraka!!!!!
Danh sad one,ni kisasi,kukomoana au just "vibaka"!!!!!????
Yupo hospital gn? na wodi gan?
Je wivu wa kimapenzi unahusika?
Mkome kuishi Uswahilini
Wisest man ni majina yako halisi?
umenichekesha sana aisee....Niliimiss JF lol
Anaendeleaje kwa sasa? Btw how are you doing?
uswahilini ndio wapi!!!!!!!
I love you My brother.....
ni maneno pekee nayoweza kuyasema kwa sasa...
Duh hao mabwege hawajamfanya kitu mbaya kweli?Make Dar shetan la sodoma lishawaingilia watu et
R.I.P mdada