Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Hapa napaswa kufanya maamuzi ya hekima kabla ya dk 30 kupita!
Heaven on earth Heaven on earth Heaven on earth Heaven on earth @ heaven on earth Heaven on earth
"a man with no codes is never a man, my code is 'independent' "
"an easily predictable man can never win a survival battle and he deserve death, i must win a battle so not to die"
Himidini Himidini Himidini Himidini @ himidini Himidini Himidini Himidini Himidini Himidini Himidini
la haula ya jalali we mwana
sa toka umefungiwa c umekua mwalabu kama si mzungu
halafu shost niliomba id ya pl
ifungwe kabisa maana pamoja na kubadilishiwa paswad
mchezo uliendelea,but naw ndio nishakua dismynder1 bila kupenda
kuepuka shida na matatizo ya walimwengu!!
nimekuelewa my shem,ushauri wako ntazingatia
hao wa macho kodo waache tu waendelee kuwa kodo
file kwa mwenyekiti next week litakuwa limemfikia
wewe wewe wewe mbona hujatupa taarifa?
best yangu we acha tu,ndio ushazipata
mtaani ila sio mbaya
ngoja nije si upo home?
njoo lakini muage mkeo unasafiri
maana unaweza usirudi siku mbili hizi
hahaha ongea taratibu asijesikia nataka kumtoroka
sitakaa sana...
ok poa mi nipo nakusubiri
na juice ya ukwaju nishakuandalia!!
​ndio maandalizi yenyewe hayo!!oh..jamani best!! mbona unanitamanisha mapema kiasi hiki?
​ndio maandalizi yenyewe hayo!!
nikija naomba usiniruhusu kuingia chumbani wangu
File next week ............ labda kama unataka kujioa mwenyewe!
hilo tu,na mawaridi nishamwaga kitandani
full kujiachia we njoo tu!!
hahaha ongea taratibu asijesikia nataka kumtoroka
sitakaa sana...
nilijua kabisa lazma ufanye umbeya hapa..
unataka uibiwe wewe?
by the way huyu ni rafiki yangu tuu..tena my best friend even my wife anaijua hili vyema sana
hahaaa mie kuibiwa haiwezekaniki!!!!!
mie nilikuwa sijajua jamani
kuwa wazi tu, usiogope ....tulionana ile sehem ile!!
sema tu hapa unajifanya huikumbuki!!!!!