hebu angalia hesabu hii kwa mwezi

rugwebe78

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2013
Posts
265
Reaction score
78
kipato changu kwa shughul mbalimbali sh.800,000 kwa mwezi, mapato kutoka PERFECT APPLICATION au PERFECT INTERNET sh.5,000,000/ kwa mwezi, na inategemea bidii katika kufuata maelekezo, inaweza kuwa zaidi ya hapo.
naomba msinielewe vibaya, nilikuwa nikiwaomba sana watu wajiunge na PERFECT APPLICATION wakawa wanaona kama ni utapeli wa kwenye mitandao. ubishi muda mwingine haufai, sasa endelea kubisha wenzio twala.
 

Tatizo lako wewe umekuja kwa kishindo kuonyesha jeuri, huonyeshi huna mvuto wa mjasiriamali, na hio pafect yako ni njaa tu huna lolote.
 
Tatizo lako wewe umekuja kwa kishindo kuonyesha jeuri, huonyeshi huna mvuto wa mjasiriamali, na hio pafect yako ni njaa tu huna lolote.

poa, ni njaa yangu, wenye njaa kama mimi watanielewa ww uliyeshiba achana nayo.
 

Hata iweje sijiungi, kusanya hizi habari pelekea ndugu zako kijijini ukoo mzima muwe watajiri
 
Hatutaki kujiunga na huo upuuzi. Mbona unatulazimisha?
 
Umefail kutushawishi kama Kigwangalla...
 
Toka zako kawadanganye watu wa Naminywili hyo perfect ni nadharia tu hakuna chochote!!!
 
Ngoja pombe ziniishe kichwani ntarudi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…