King’asti Platinum Member Joined Nov 26, 2009 Posts 27,855 Reaction score 24,925 Nov 3, 2013 #21 Ina maana hujaenda kusali ama hangover utakata na mvinyo? Kweli Mungu hanywi chai na wahuni. Baba V said: Ngoja pombe ziniishe kichwani ntarudi.. Click to expand...
Ina maana hujaenda kusali ama hangover utakata na mvinyo? Kweli Mungu hanywi chai na wahuni. Baba V said: Ngoja pombe ziniishe kichwani ntarudi.. Click to expand...
R rugwebe78 JF-Expert Member Joined Aug 25, 2013 Posts 265 Reaction score 78 Nov 3, 2013 Thread starter #22 Ikumbukwe kwamba, si lazima kukoment na vilevile si lazima kujiunga. Anayetaka anipm kwa mawasiliano zaidi. Mnaoponda nawatakia kazi njema, mtaishia kuponda tu huku mkijisifu kwa misimamo. Ila yote ni maisha tu.
Ikumbukwe kwamba, si lazima kukoment na vilevile si lazima kujiunga. Anayetaka anipm kwa mawasiliano zaidi. Mnaoponda nawatakia kazi njema, mtaishia kuponda tu huku mkijisifu kwa misimamo. Ila yote ni maisha tu.
riro23 JF-Expert Member Joined Sep 16, 2013 Posts 788 Reaction score 773 Nov 3, 2013 #23 ni kitu gani hicho na baada ya kujiunga inakuwaje?
IPILIMO JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 1,819 Reaction score 801 Nov 3, 2013 #24 Gharama za kuanyia sh. Ngapi?
N Ngaseku New Member Joined Oct 16, 2013 Posts 4 Reaction score 0 Nov 3, 2013 #25 Hyo perfect applucation inahusu nini?