Hebu cheki dada wa kikenya alivyosifiwa na wazungu

Sio kwa ukomavu huo kha! Wazungu ukomavu ndio ubeauty!
 
Kwahiyo Wewe wakisifia wazungu bhasi unaona rahaaa,da tunasafari ndefu Kama taifa
kwa upande mmoja inaweza ikatusaidia kusifiwa kwake maana tunasumbuliwa manyumbani mwanamke hawezi kutoka out mpaka ajipake wanayojipakaga, na hii yote ilitokana na uzuri ukisifiwa na mzungu huyohuyo. Mie nimeona dada ni mzuri na amesifiwa kwa alivyotoka kawaida sana na hao hao wazungu. sijui kwa upande wako, labda hujawahi cheleweshwa ofisini sababu mtu poda haijamkaa sawa. nawakati mwingine hayo wanayojipaka kichwani au usoni ndio yanawaharibu nyuso.....ila mpaka aelewe ni kazi kweli
 
Kila mnavyojitembeza uchi ndivyo watazidi kuwasifia.

Biashara ni matangazo.

Msojijuwa.

Hata mimi sijapenda hii tabia ya kutembea uchi!! Yaani mwanamke lazima awe uchi ndio iwe yeye ni sexy!! Argh! Inaudhi hii!!
Kuiga wazunbgu ni jambo la ovyo sana!
 
Hata mimi sijapenda hii tabia ya kutembea uchi!! Yaani mwanamke lazima awe uchi ndio iwe yeye ni sexy!! Argh! Inaudhi hii!!
Kuiga wazunbgu ni jambo la ovyo sana!
You call this naked?




Nope, hatujawaiga wazungu, walitupata uchi when they first came to Africa, kwaivyo pengine hawa ndio wanatuiga.
 
You call this naked?




Nope, hatujawaiga wazungu, walitupata uchi when they first came to Africa, kwaivyo pengine hawa ndio wanatuiga.

Hahahahahahahaha! Enyewe hapo umeniwahi! Lakini hii kwa ukweli ni kuwa naked!
 
Daah yani hpo ndio kapendeza?bado hajanishawishi hata kumtongoza achilia mbali kuongozana nae, mm nnaona kama wazngu wameamua kumchoresha
 
Uchi my foot. Kabla mzungu aje nguo zilikua wapi! Na kabla mwarabu Na mzungu ashuke Na dini zao za utumwa si tulikua tumetulia Na mungu wetu Na kuomba kiafrika safi Bila hawa wavamizi!!!!?
 
Uchi my foot. Kabla mzungu aje nguo zilikua wapi! Na kabla mwarabu Na mzungu ashuke Na dini zao za utumwa si tulikua tumetulia Na mungu wetu Na kuomba kiafrika safi Bila hawa wavamizi!!!!?
 
Kumbe ki-Lupita kimekula chumvi kiasi hiki[emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…