Clueless14
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,108
- 4,751
Uliza acha haya wee mtoto wa kiume ujueNinatamani nikuulize kitu ila acha nikae nacho tu, maana nimepanga kuacha hizi kitu.
Uliza acha haya wee mtoto wa kiume ujue
Kwa rangi au shepu. nakama hachezewi chezewi sana kwa rangi hii hawa huwa wanakua wamoto, kama ushawahi sikia. Nakama shepu.....hebu tupia kapicha kamtu unae muona anamzidi. Though niliweka hiyo picha kukataa kwamba ana kigimbi.Kuku wa kienyeji kupita kiasi hadi hapendezi
Asiyejuwa maana haambiwi maana.
Kila mnavyojitembeza uchi ndivyo watazidi kuwasifia.
Biashara ni matangazo.
Msojijuwa.
Asiyejuwa maana haambiwi maana.
Dont believe everything in those right- wing, white supremacist publications.Kuna rumours Hollywood huyu dada ni HIV positive
Huu ndio uafrika kamili. Achana na hizo itikadi za imani zako tulizolimbikiziwa na hawa waliowadhalilisha mababu zetu kwa utumwa na mateso mengi.Naona huko ndio kustaarabika.
Ustaarabu wa paka kunya mavi kujipaka.
kuamini kwako my foot!! mila za wenyewe unazikumbatia eti ni dini tayari mabomu kiononi kuua mwenzako, na hizo mila hazikuhusu sikio wala ndwele!! ukristo, uislamu ni utumwa mtupu africa!!!Maandiko yako yanaonyesha wazi jinsi ulivyo patupu.
Hata maana ya Uarabu, Uzungu, Uafrika huelewi wala asili zao huelewi.
Sisi tunaamini mbora ni mcha Mungu tu. Makabila na lugha ni za kufahamiana tu.
Elimika kijana.
Labda babuyo alichukuliwa utumwa na mtumwa haachi asili yake ndiyo maana unaona ni sawa tu mwanamke kuanikwa uchi na wazungu. Sikushangai.Huu ndio uafrika kamili. Achana na hizo itikadi za imani zako tulizolimbikiziwa na hawa waliowadhalilisha mababu zetu kwa utumwa na mateso mengi.
Kwani kuonyeshana mapaja kuna ubaya gani? Ni kipi kibaya kuhusu hii miili yetu?
Huyo mungu alikuwa nani na mbona akerwe na haya yeye mwenyewe ndiye aliumba?
Haya yalikuwa maoni ya Mungu ama binadamu?
Na mbona hakuja na Africa kutuambia kuonyeshana uchi ni uovu?
As long as mtu ameyaficha nyeti zake, sioni tatizo.
kuamini kwako my foot!! mila za wenyewe unazikumbatia eti ni dini tayari mabomu kiononi kuua mwenzako, na hizo mila hazikuhusu sikio wala ndwele!! ukristo, uislamu ni utumwa mtupu africa!!!
Huyu dada hajielewi kuwa naye ni mtumwa, tofauti ni kuwa amewapenda mabwana zake zaidi na kuwaona watumwa wa wazungu ni wajinga.This was my point
Punguza ukorofiKila mnavyojitembeza uchi ndivyo watazidi kuwasifia.
Biashara ni matangazo.
Msojijuwa.
Hata kuvaa nako ni kuiga wazungu vilevileHata mimi sijapenda hii tabia ya kutembea uchi!! Yaani mwanamke lazima awe uchi ndio iwe yeye ni sexy!! Argh! Inaudhi hii!!
Kuiga wazunbgu ni jambo la ovyo sana!
ulitaka awe kwa waarabu ndio uone sawa.At least hao wanajijuwa wapo kwao hawajaenda utumwani kuuzwa na wazungu.
hayo magwanda kichwani na kwingineko hebu yavue. utumwa huo basi........Ungekuwa si muabudu wazungu usingejiita "Waltham".