Mke wa wayne bridge na siyo joe cole bossHii ya john Terry ilivuma Sana hasa alipo mnyandua mke wa mchezaji wenzake I hope ni mke WA J.Cole
UCL 2005 ya Liverpool na AC Milan is the best Kwangu
Aha vizuri Kwa kunisahihishaMke wa wayne bridge na siyo joe cole boss
Lakini bongo hadi leo hatujui mkude kafanya kosa ganiMke wa wayne bridge na siyo joe cole boss
Umeshafeli. Hii mechi haikuwa fainal.Ile comeback ya Barca dhidi ya psg. Agg 6_5
Siyo 2010 bali ni 2011 uwanja wa Wembley.🤣🤣🤣fainali kali ile ya fagason na guadiola 2010 mzee alitaka afe uwanjani coz alikuwa anavabrite mwili mzima 😁
Hii ilikuwa nusu final siyo final match kama alivyouliza mleta mada.Ajax vs Tottenham(2019 Amsterdam)
Yawezekana wewe ndo umezeeka bro,Nadhani ule mpira asili ndo ulikuwa unaishia hapo, kila nikijaribu kuangalia soka siku hizi, sielewi elewi tena kama siku hizo zilizopita.
Naona kama kabumbu linajifia kama zilivyokufa ndondi za level ya akina Tyson.
Yaani ungeanzia mwaka 1998 WC, au hata nyuma ya hapo, fainali ya Egypt na Bafanabafana 1996 kama nakumbuka vizuri. Soka safi, vipaji lukuki, sio soka la kutawaliwa na CR7 na Messi kwa miaka 10 kama wako peke yao
Ni 2011fainali kali ile ya fagason na guadiola 2010 mzee alitaka afe uwanjani coz alikuwa anavabrite mwili mzima [emoji16]
Ni sawa pia, lakini wewe kama uliliona lile kabumbu la kipindi hicho, ukiangalia timu moja unaona imesheheni kila idara, soka safi. Ipi timu unayodhani imetimia kwa sasa? Atletico? PSG? Juventus? Borussia Dortmund? Ajax? Alcantara? Sporting Lisbon? Ipi?Yawezekana wewe ndo umezeeka bro,