Kuna tatizo gani linalosabisha mwanamke kutoa damu kila anapofanya mapenzi? Yeye anasema anashanga hata baada ya hedhi damu inaendelea kila kazi inapopigwa! Mbona hiyo discharge siyo kawaida?. Ni damu inayo chafua kitanda 'mno' kila baada ya mapenzi. plz msaada!
Kuna tatizo gani linalosabisha mwanamke kutoa damu kila anapofanya mapenzi? Yeye anasema anashanga hata baada ya hedhi damu inaendelea kila kazi inapopigwa! Mbona hiyo discharge siyo kawaida?. Ni damu inayo chafua kitanda 'mno' kila baada ya mapenzi. plz msaada!
muulize kama anatumia sindano za uzazi wa mpango kama ameshazaa ila kama bado aende hospitaliKuna tatizo gani linalosabisha mwanamke kutoa damu kila anapofanya mapenzi? Yeye anasema anashanga hata baada ya hedhi damu inaendelea kila kazi inapopigwa! Mbona hiyo discharge siyo kawaida?. Ni damu inayo chafua kitanda 'mno' kila baada ya mapenzi. plz msaada!