Hebu Mtambue Ahmad Amasha Pichani!

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,553
Mchezaji wa zamani wa Young african(kushoto waliokaa) aliyehamishia makazi yake nchini Oman kwa zaidi ya miaka 25 sasa.
 
Mchezaji wa zamani wa Young african(kushoto waliokaa) aliyehamishia makazi yake nchini Oman kwa zaidi ya miaka 25 sasa.

tutafutie basi na ya mchezaji wa zamani wa simba hussein amani marsha akiwa mapumzikoni nyumbani kwake nchini uingereza.
 
Ahmed Amasha ni huyo aliyekaa upande wa kulia katika picha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…