hebu muangalieni huyu afande

yani V tatu ypo hivyo?angepata zali akawa RPC je?c angepasuka?anyway ni maumbile tu hayo!!!!!!!!!!!
 
mi sioni kitambi hapa au ni kitambi kipi unakizungumzia? Cha mbele au cha nyuma?

Hii imenichekesha sana sina mbavu:
Tukianza na kile cha Mbele ni cha MAHARAGE YA DEPO
NA kile cha nyuma : most probably "UCHAKACHULIWAJI" a.ka kula bata.

wasifu mwingine: Sura ya kiuaji uaji.
Huyu jamaanaonekana akikukamata hutoki na anaonyesha ana usongo sana na wahalifu.
Pia anaonekana km vile maisha yamemzonga sana, mshahara duni na madeni lukuki amekopa dukani anapiga hesabu jinsi ya kubana wahalifu wampe hongo.

Jamaa anaonekana km ana familia (mke) na watoto kadhaa, lakini inawezekana kabisa mama watoto wake hafikishwi kikamilifu.

kwa kumaliza wasifu wake, jamaa pia anaonekana ANAGONGA GLASS KISHENZI ila hazimudu maana macho yake yamelegea tayari:frog:
 
Anafanya mazoezi kweli huyu? mbona mwili legelege tu?
 
Kwani hongo inataka mazoezi? kwani makamba, tambwe hiza , chiligati wana mazoezi???
 
Na huyo mfilipino(mshtakiwa) mbona ameangalia pembeni kama vile hataki kumwona afande wetu au hataki kula bata?
 
Ccm oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kula bataaaaaaaaaaaaaaaa kulaaaaaaaaaaaaaaaaa kulaaaaaaaaaaaaaaaaaa hii ndio thithiemu
 
hahahaaaaa tabu kwelikweli graride anafanyaje huyo,,,hahaahhaaaaa hata kama ana mnbio hawezi mkamatamwalifu mitaa ya manzese huyo,,,,,,,,,,kibaka anampitisha chocho nyembamba hicho kitambi na kibinda nkoi havipenyi,,,,alafu doria hawezi kufanya anaonekana mvivu wa kutembea,,,ladba ni mpishi tumekosea kuzania nia askari wa kawaida,,,,,,,,kama ni askari wa kawaida hanikamati ngo;
 
Sipati picha akikamata mahabusu wanaanza kuimba Singida, Dodoma, Tabora, Mwanza hahah haha:love::love::love:
 
Askari maalum wanaopambana na majangili wanaoiba nyaraka za serikali kama meno za ndovu,kifaru nk
 
mhhh! huyu ukimwambie akakamate vibaka sijui kama ataweza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…