Hivi huku vyuoni hakuna mechanism ya kuwafuatilia hawa walimu ufundishaji wao, au ndio wakishaajiliwa imetoka wanaendelea kufundisha wanavyojua wao na hakuna cross-checking maana kuna walimu hapa Udom ni majanga, Nilitaka kutoa details za huyu lecturer lakini nimeona nisubiri nimalize semester kwanza maana anaweza kugundua kuwa ni mimi ndio niliouza file lake halafu akanila kichwa. ila ndio tunamalizana nae semester hii. kwa hiyo vuteni subira.