Hivi huku vyuoni hakuna mechanism ya kuwafuatilia hawa walimu ufundishaji wao, au ndio wakishaajiliwa imetoka wanaendelea kufundisha wanavyojua wao na hakuna cross-checking maana kuna walimu hapa Udom ni majanga, Nilitaka kutoa details za huyu lecturer lakini nimeona nisubiri nimalize semester kwanza maana anaweza kugundua kuwa ni mimi ndio niliouza file lake halafu akanila kichwa. ila ndio tunamalizana nae semester hii. kwa hiyo vuteni subira.
Kiongozi hakuna dhambi mbaya kama uoga.Mi nadhani jambo la msingi sikukichafua chuo chako.Mfuate academic adviser wako mwambie tatizo lako atakushauri nini chakufanya kutokana na somo analofundisha unayemlaumu.Huku kwenye majukwaa ni tofauti na kwenye academic institution.Unaweza ukasympathise na sisi huku mwisho wa siku ukaumia mwenyewe.Mara ya mwisho ulipoandika uliregret sasa leo umerudi jitafakari alafu uchukue hatua huko hakuna siasa mimi ziliniponza.
Tatizo wabongo mnapenda kufundishwa kama shule ya msingi wakati mpo chuo, nimefundishwa na mhindi mmoja, anatupa course outline kazi kwako kukomaa, ukizoea vya dezo lazima utaona baadhi ya wahadhiri hawafai kumbe hufai wewe
Tatizo wabongo mnapenda kufundishwa kama shule ya msingi wakati mpo chuo, nimefundishwa na mhindi mmoja, anatupa course outline kazi kwako kukomaa, ukizoea vya dezo lazima utaona baadhi ya wahadhiri hawafai kumbe hufai wewe
Tatizo wabongo mnapenda kufundishwa kama shule ya msingi wakati mpo chuo, nimefundishwa na mhindi mmoja, anatupa course outline kazi kwako kukomaa, ukizoea vya dezo lazima utaona baadhi ya wahadhiri hawafai kumbe hufai wewe
Hivi huku vyuoni hakuna mechanism ya kuwafuatilia hawa walimu ufundishaji wao, au ndio wakishaajiliwa imetoka wanaendelea kufundisha wanavyojua wao na hakuna cross-checking maana kuna walimu hapa Udom ni majanga, Nilitaka kutoa details za huyu lecturer lakini nimeona nisubiri nimalize semester kwanza maana anaweza kugundua kuwa ni mimi ndio niliouza file lake halafu akanila kichwa. ila ndio tunamalizana nae semester hii. kwa hiyo vuteni subira.