Yote hayo ni kweli ,Mimi nimeshuhudiaAisee Mimi sijaliona vyema hili tukio.
Nasikia huyu Bench warmer aliingizwa dakika za 70 na akaonekana anaingia huku anavaa hereni.
Yaani Timu yako iko nyumba ya bao moja unapata muda wa kujivika hereni?
Tena ukizingatia una miaka 34 na zaidi.
Basi huyu jamaa hafai hata kusajiliwa DTB Kama ni kweli.
Mchezaji haruhusiwi kucheza akiwa kavaa hereni wala cheni, ndio maana alizificha wakati anaingia akavalia uwanjani,Nililiona lile tukio na japo mi yanga ila alinikera sana hasa pale refa alipomtoa akazitoe maana sijui zilikua hazikai ila ye anakomaa nazo tu hazingatii situstion kwamba wako nyuma ya muda na matokea
So what was the point..alikua halijui hili??Mchezaji haruhusiwi kucheza akiwa kavaa hereni wala cheni, ndio maana alizificha wakati anaingia akavalia uwanjani,
hahahaha.j3 redion ndo itakua story hyMnalikuza Sana hili tukio
AhahahahUkiona hivyo ujue nyoni anataka kuachia EP yake. Hii ni habari mbaya kwa mondi na konde gang
Yaani mchawi wakati wote utamjua tu. Hakosi kutajataja habari za kichawi maana anadhani kila mahali wanamchawia tu.Uzee wote ule bado unavaa hereni? Uwenda ni ndumba zao alibeba na sisi hatujui
Nahisi usela mavi tu unamsumbuaSo what was the point..alikua halijui hili??