Ingekua bongo huo mtaa wote hukuti watu na polisi nao wanavizia hakuna wa kusogea yaani sio raia wala polisi wote waoga ila ikipigwa wabongo wanakimbilia sauti kwenda kujua kuna nini yaani bongo ni shiiiidah
View attachment 347121
Patashika nguo kuchanika ndugu! .Kalashnikov hana maana kabisa watu wanabuni vitu vya kurahisisha maisha na kumsaidia mwanadamu yeye kabuni hilo li kitu. Eti engineer! akijinasibu mbunifu!
Yawezekana baba na mwana ila baba amesha ikoki na ameshikilia trigger sijui kwa nini? Mimi ningefunga saloon kabla hajaingia nikidai naenda toilet au kununua luku.