Hebu nipen source za kuchek POST hapa tz

MUREFU

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2010
Posts
1,331
Reaction score
352
Wanandg niaje ninaomba mnipe source za kuchek utafutaj wa ajira. Yan ninaomba WEBSITE ya kuchek ajira tofaut hapa TANZANIA mana ninafikir ninazozjua mm ni ndogo 2saidiane ma pipo
 
Sista Sista you must have been in comedy for quite a time now!
 
angalia hata avatar yake,huyu jamaa si mchezo ni bonge ya comedian
 
jamani wakati mwingine mtu anakuwa nashida kweli hivyo kama umeshindwa kumsaidia usimsagie kwani ameona jamvini ndio sehemu nzuri ya kusaidiwa kimawazo
 
jamani wakati mwingine mtu anakuwa nashida kweli hivyo kama umeshindwa kumsaidia usimsagie kwani ameona jamvini ndio sehemu nzuri ya kusaidiwa kimawazo

bora useme wewe mana nikiongea mm nitaambiwa ninahira safi m2 wangu na kwanini umekawia hvyoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…