Hebu nisaidieni ni lipi neno sahihi kati ya haya mawili Shtua au Stua?

Hebu nisaidieni ni lipi neno sahihi kati ya haya mawili Shtua au Stua?

Joined
Sep 12, 2018
Posts
34
Reaction score
27
Habari zenu Waungwana!

Ni imani ya moyo, akili, falsafa ziloshiba mantiki ya hapa na kule ya kwamba wengi kati yenu ni Wanalugha.

Hebu nisaidieni ni lipi neno sahihi kati ya haya mawili?
#"S" inakuwa "sh" kama usoni kwake kutakuwa na eidha" T" au "P" katika lugha ya kijerumani:

> Student= sh-tu-de-nt
>stuhl=sh-tu-l
>speise=sh-pai-z

Hebu nijuzeni ni kwakuwa tulitawaliwa na Mjerumani, ndio maana tunasema shtua (wazenji wengi) stua(mainland wengi).

#G-less Antonopoulos
ZANZIBAR...
 
Sahihi ni stua maana yake kitu ambacho hukutaraji kitokee kikakutokea.
 
Back
Top Bottom