Hebu panga hiki kikosi hapa kama wewe ni muhenga

Hebu panga hiki kikosi hapa kama wewe ni muhenga

Barakoa

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2020
Posts
741
Reaction score
1,352
Ni matumaini yangu kila mtu kwa nafasi yake anadhidi kuchukua tahadhari dhidi ya COVID-19.

Hawa jamaa walipata kutuburudisha sana wakati ule kwa vimbwanga vyao, simu za mikononi na mitandao ikiwa bado ni ndoto kwa wengi wetu. Hebu kipange hiki kikosi hapa chini kadri unavyokikukumbuka.
IMG_20200428_100752.jpg
 
Kipepe juu kushoto winga, aliyeshika mpira Madenge alikua kipa, aliyevaa shati Meko alikua mshambuliaji, aliyevaa kapelo Lodi Lofa alikua kiungo, namba 7 au 8 ni Mapung'o alikua anajiita Golden Boy Mapung'o.

Wengine hao ni nyongeza.
 
Kipepe juu kushoto winga, aliyeshika mpira Madenge alikua kipa, aliyevaa shati Meko alikua mshambuliaji, aliyevaa kapelo Lodi Lofa alikua kiungo, namba 7 au 8 ni Mapung'o alikua anajiita Golden Boy Mapung'o.

Wengine hao ni nyongeza.
Golden Boy Mapungo si alikuwa kwenye gazeti la Bongo ?
 
Nawakumbuka wachache kwa majina...

Kipepe, lodilofa, pimbi, mapungo, madenge...


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom