Hebu pitia hapa.

Hebu pitia hapa.

Kipis

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2011
Posts
501
Reaction score
79
Ni karine nyingi sana tangu afrika mashariki ilipoanzisha msemo wa lunga ya kiswahili. Na hii ilisababishwa na muungano wa wageni nchini na wenyeji.
Tangu wakati huo, lugha hii ilichukuliwa kama chombo cha potea kwani watalamidhi wengi nchini walijikita zaidi na lugha za kigeni!!
Is it true about this!
 
Sijakuelewa mkuu, sijui ni mimi au wewe mwenye usingizi
Ni karine nyingi sana tangu afrika mashariki ilipoanzisha msemo wa lunga ya kiswahili. Na hii ilisababishwa na muungano wa wageni nchini na wenyeji.
Tangu wakati huo, lugha hii ilichukuliwa kama chombo cha potea kwani watalamidhi wengi nchini walijikita zaidi na lugha za kigeni!!
Is it true about this!
 
Sijakuelewa mkuu, sijui ni mimi au wewe mwenye usingizi

Hivi ni kweli chimbuko la kiswahili limetokea africa mashariki kupitia muungano wa wageni nchini na wenyeji? Hivi ni kweli kiswahili kilionekana kama vile chombo kisichokuwa na nahodha hadi kupelekea wasomi wa wakati huo kujikita zaidi na lugha za kigeni?
 
Back
Top Bottom