Ni karine nyingi sana tangu afrika mashariki ilipoanzisha msemo wa lunga ya kiswahili. Na hii ilisababishwa na muungano wa wageni nchini na wenyeji.
Tangu wakati huo, lugha hii ilichukuliwa kama chombo cha potea kwani watalamidhi wengi nchini walijikita zaidi na lugha za kigeni!!
Is it true about this!
Sijakuelewa mkuu, sijui ni mimi au wewe mwenye usingizi
hadi umecomment, ushapita wangu...teh teh teh...huyu jamaa liheading lake limeniattract, ila kaongea ushungu mtupu:becky:huko sipiti ng'o