Hebu tuambiane ukweli kuhusu suti

KING HAM

Member
Joined
Nov 25, 2019
Posts
23
Reaction score
11
Hivi suti nini? Kwa sababu mtu akivaa suruali ya kitambaa na shati bila lile koti anaoneka hajavaa suti ila akivaa Koti pamoja na suruali ya kitambaa na sauti ndo anaonekana kavaa,je suti nilile koti ama niaje nivipi?
 
Hivi suti nini? Kwa sababu mtu akivaa suruali ya kitambaa na shati bila lile koti anaoneka hajavaa suti ila akivaa Koti pamoja na suruali ya kitambaa na sauti ndo anaonekana kavaa,je suti nilile koti ama niaje nivipi?
Muunganiko wa kifasheni baina ya koti na suruali au hata sketi ambavyo vimetengenezwa ili vivaliwe kwa pamoja...

Ni kama mlango na fremu, kitasa na funguo n.k
 
Naona watu wengine wakivaa suti zinawapendeza sana ila mimi kila nikinunua suti hainipendezi,pamoja na kubadilisha kila design mwishowe imetokea kuzilundika tu ndani.Kiujumla sipendi vazi la suti...
 
Sawa mkuu
Muunganiko wa kifasheni baina ya koti na suruali au hata sketi ambavyo vimetengenezwa ili vivaliwe kwa pamoja...

Ni kama mlango na fremu, kitasa na funguo n.k
 
Naona watu wengine wakivaa suti zinawapendeza sana ila mimi kila nikinunua suti hainipendezi,pamoja na kubadilisha kila design mwishowe imetokea kuzilundika tu ndani.Kiujumla sipendi vazi la suti...
Weee 😁😁
 
Napenda Kaunda suit hizi za mawaziri.
Suti za makoti hazinipendezi kivile kama Kaunda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…