Hebu tuangalie hili swala wakuu

RALO

Member
Joined
Jan 31, 2012
Posts
46
Reaction score
13
Kuna familia ya baba,mama na watoto watatu wa kiume,kati ya wale watoto watatu wawili ni wa nje ya ndoa mmoja kwa baba na mwingine kwa mama,mmoja ndiye aliyezaliwa ndani ya ndoa ila wote walikuwa wanalelewa kwenye nyumba moja....sasa ishu iko hivi:

Kwa bahati mbaya wazazi wote walifariki kwa nyakati tofauti na kila mmoja wa wale watoto alipewa sehemu ya urithi wake (nyumba na kiwanja) na wazazi wao baada ya kufariki,sasa baada ya muda mtoto wa mwisho kati ya wale watatu akafariki ambaye ndiye alikiwa ndani ya ndoa na hakuacha wosia wowote kuhusu mali yake ichukuliwe na nani maana na yeye alikuwa bado mwanafunzi,sasa ndugu nao wameingilia kati wanataka kugawana hizo mali,lakini kaka zake wa nje ya ndoa wapo hai.
Sasa kisheria huo mgawanyo wa mali unatakiwa uende kwa nani kihaki?
thanks in advance.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…