Kiuhalisia hayo magari yanakula kodi za watanzania si mchezo.
Msafara wa JPM unaweza kuwa na hizo gari almost 50.
Kila moja inakula 5km/l.
Hizo gari hazizimwi mwanzo mpaka mwisho wa safari, zipo silencer msafara ukisimama.
JPM akitoka Dom kwenda Dar kwa barabara, gharama yake inafika almost 500M kwa posho, mafuta, services na misc.
Nashauri viongozi wakuu na mawaziri pekee ndo watumie hizo VX V8. Hao wengine watumie magari yao ila serikali iwawekee full tank kila jumatatu. Wataokoa hela nyingi sana.
Kama kila mtu serikalini atataka kuendeshwa na hizo gari, hela nyingi sana inapotelea huko.