Hebu Tujadili Hii Comment Niliikuta Quora Kuhusu HIV Cure.

Hebu Tujadili Hii Comment Niliikuta Quora Kuhusu HIV Cure.

buswagg

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2023
Posts
728
Reaction score
1,352
Wakuu habari zenu.

Nilikua quora website, kuna mtu aliuliza swali anataka kujua kama hiv ina dalili zototw za kupata tiba kamili.

Aliuliza kua amesikia fununu kwa ndugu yake yuko kitengo maalum cha utafiti huko USA, akaambiwa tiba ipo tayari almost 2 years now, ila ni siri cas wakuu wakisema ipo watapoteza mapato mengi sana (billion $s na kushuka kiuchumi kwa almost 33%).

Nikaona hii comment ya member mmoja nimeattach, nikawa interested kidogo.

Tafsiri yake in swahili ni'

"Mwanamume mmoja huko Ujerumani alipona ugonjwa huo mnamo 2018 akiishi vizuri. Lakini kaka yangu mkubwa anamfahamu mtu ambaye alihudumu naye jeshini ambaye alipata VVU kutokana na ngono mwaka wa 1996. Alikuwa Navy na baharia mwingine aliyepata VVU aligunduliwa katika Hospitali ya Jeshi la Wanamaji walimpeleka kwenye kituo cha utafiti cha Jeshi huko Virginia ambacho kinahusika na kemikali. , kibaolojia, ugonjwa wa maambukizi na kituo cha vita. Alikuwepo kwa mwaka mmoja walimpa baharia risasi 3 na vidonge 3 kwa siku kwa mwaka. Baada ya mwaka mmoja hakuwa na VVU na akarudi kwenye meli. Kwa hivyo serikali ina dawa lakini isiitoe bc watapoteza pesa kwenye tiba hiyo"

Ukimwi unaweza kua na tiba au kuna uwezekano ikapata tiba? hua naskia uchungu sana nilipompoteza kaka yangu na uncle wangu kisa huo ugonjwa[emoji58]
%E8%B6%85%E7%BA%A7%E6%88%AA%E5%B1%8F_20241212_153208.jpg
 
Mbona hilo liko wazi, kwani hamkujua.kuwa ni biashara hio?,
Toka lini virus aliye kuwa modified akaleta madhara then ikakosekana solutions?
Hamuoni yakuwa mnachezewa?
Eti kinga ya mwili imepungua, kuongeza mtumie dawa? Serious? Hamuoni kuwa mnapigwa changa la macho?
 
Mbona hilo liko wazi, kwani hamkujua.kuwa ni biashara hio?,
Toka lini virus aliye kuwa modified akaleta madhara then ikakosekana solutions?
Hamuoni yakuwa mnachezewa?
Eti kinga ya mwili imepungua, kuongeza mtumie dawa? Serious? Hamuoni kuwa mnapigwa changa la macho?
sasa solution ni gani mkuu, cas inatakiwa nguvu kubwa itumike kuondoa huu ujinga unaomaliza ndugu zetu na vijana wetu mkuu, solution ni nini?
 
waje watuambie if ni kweli
Mkuu buswagg yawezekana ni kweli maana ukifuatilia Chanzo cha UKIMWI/HIV,wale virus walitengenezwa na watu fulani kwa makusudio ya kupunguza watu duniani ili watutawale kiwepesi.

Kwahiyo nadhani dawa ipo ila hawaitoi kwa watu kwa sababu wanazozijua wao
 
Mbona hilo liko wazi, kwani hamkujua.kuwa ni biashara hio?,
Toka lini virus aliye kuwa modified akaleta madhara then ikakosekana solutions?
Hamuoni yakuwa mnachezewa?
Eti kinga ya mwili imepungua, kuongeza mtumie dawa? Serious? Hamuoni kuwa mnapigwa changa la macho?
Endelea kuchakata mbunye za hawa malaya ili baadae uje uwalaum wazungu
 
Wakuu habari zenu.

Nilikua quora website, kuna mtu aliuliza swali anataka kujua kama hiv ina dalili zototw za kupata tiba kamili.

Aliuliza kua amesikia fununu kwa ndugu yake yuko kitengo maalum cha utafiti huko USA, akaambiwa tiba ipo tayari almost 2 years now, ila ni siri cas wakuu wakisema ipo watapoteza mapato mengi sana (billion $s na kushuka kiuchumi kwa almost 33%).

Nikaona hii comment ya member mmoja nimeattach, nikawa interested kidogo.

Tafsiri yake in swahili ni'

"Mwanamume mmoja huko Ujerumani alipona ugonjwa huo mnamo 2018 akiishi vizuri. Lakini kaka yangu mkubwa anamfahamu mtu ambaye alihudumu naye jeshini ambaye alipata VVU kutokana na ngono mwaka wa 1996. Alikuwa Navy na baharia mwingine aliyepata VVU aligunduliwa katika Hospitali ya Jeshi la Wanamaji walimpeleka kwenye kituo cha utafiti cha Jeshi huko Virginia ambacho kinahusika na kemikali. , kibaolojia, ugonjwa wa maambukizi na kituo cha vita. Alikuwepo kwa mwaka mmoja walimpa baharia risasi 3 na vidonge 3 kwa siku kwa mwaka. Baada ya mwaka mmoja hakuwa na VVU na akarudi kwenye meli. Kwa hivyo serikali ina dawa lakini isiitoe bc watapoteza pesa kwenye tiba hiyo"

Ukimwi unaweza kua na tiba au kuna uwezekano ikapata tiba? hua naskia uchungu sana nilipompoteza kaka yangu na uncle wangu kisa huo ugonjwa[emoji58]
View attachment 3175222
Mkuu hapo kwenye "3 shots and 3 pills" maana yake "sindano 3 na vidonge vitatu" sio "risasi 3"
 
Naweza kukubaliana na hilo maana nikiangalia mfano ARV, Ati zinafubaza virusi na kuna sehemu nilisoma kama mtu atatumia hiyo dozi vyema nakuzingatia maswala mazima ya afya anaweza kufubaza virus vya ukimwi hata vipimo baadhi vikashindwa ku detect hivyo virus!!.

kama wanaweza kuvifubaza na vikapungua basi hiyo ni dalili tosha uwezekano wa tiba kuwepo ikawepo kweli, na nina wasiwasi huu ugonjwa wakileta tiba tutakaa kitambo kidogo litaletwa gonjwa jengine liendelee kututafuna!.

nakumbuka pia mwaka 2016 Russia walitangaza kupata dawa ila taarifa hiyo ilikanushwa baada ya wiki kama moja au mbili, nikahisi tayari kuna fungu nono itakuwa limewanyamazisha wataalum!.
usikute hata humuhumu kwetu tiba ipo lkn watu hawatangazi maana wanajua kitawalamba!.
 
Ukimwi Ni AIDS Ni second stage ya tatizo.
First stage Ni HIV , ambayo kwa kiswahili Ni maambukizi.. ili upate maambukizi lazima kuwe na blood contact ya mtu mwenye ukimwi na mtu asiyekuwa nao.

Maambukizi ya upungufu wa Kinga mwilini( HIV) , Mara nyingi maradhi yaambukizwayo na virusi ngumu kutibika lakini ukijua Ni ugonjwa unaoua Sana Kinga Ni vyema ukajua Kinga Ni Nini ? Na ufanye Nini kuzirejesha katika mfumo wake wa awali tofauti na kutumia vidonge vya kupunguza uharibifu wa Kinga, ambavyo baade vinageuka kuwa reaction katika mwili na kusababisha matatizo ambayo hayakuwepo maana Ni sawa na kumchezea sharabu Simba.(kwamaana maradhi mengi ya watu wa AIDS yanatokana na hizo hizo dawa zinazoaminika .

Yote kwa yote, Mwenyezi Mungu Awatie uhai wote walipata ugonjwa huu wa mauti, na wengine ambao hawana Mwenyezi Mungu awalinde na bonde Hilo la mauti.
Ameen
 
chukua na hii,...takribani asilimia 10 ya watu duniani hawazuriki na HIV, ila wanabaki kama carriers tu...na asilimia kubwa ya watu hawa wanatokea bara la ulaya,....

pili, katika historia ya mwanadamu, hakujawai kuwa na kipindi ambacho mwanadamu amekuwepo bila ya uwepo wa gonjwa lisilotibika...mfano .... plague, ukoma , UKIMWI...n.k..

hivyo UKIMWI kuwa na tiba au lah! ,....yote yanawezekana ni suala la muda tu tutapata hiyo tiba pia tutapata gonjwa lingine,...
 
waje watuambie if ni kweli
Mumy leta code tupate ya soup kesho. Serikali zote duniani ni wauwaji tu ndio maana zina coercive apparatus kila kitu muhimu na chenye nguvu wanamiliki wao.

Nipe code madam
 
Kuna kipindi chanjo ilikuja hapa Bongo na walipatiwa watu wa jeshi la polisi kama sijakosea. Ila sijawahi kusikia muendelezo wao tena, sijui ndio walifungwa midomo au onyo kali.
 
Back
Top Bottom