Hebu tuliangalie upya hili swala la mavazi

Hebu tuliangalie upya hili swala la mavazi

Leomimi

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2013
Posts
2,547
Reaction score
872
Kuna baadhi ya ofisi za serikali ukiingia umevaa suruali ya Jeans au kimini huruhusiwi kuingia.Sijaona kama ni tatizo lakini inakuaje hata kwa anaefata huduma tu kwenye ofisi hizo nae avae kama maagizo ya staff yanavyosema? hili kweli limevuka mipaka mimi nadhani tuangalie ufanisi na sio haiba ya mtu.
 
Back
Top Bottom