Hebu tulinganishe utajiri wa majimbo za Marekani na utajiri wa nchi za Kiafrika. Tutumie kigezo cha Gdp.

Hebu tulinganishe utajiri wa majimbo za Marekani na utajiri wa nchi za Kiafrika. Tutumie kigezo cha Gdp.

Tony254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2017
Posts
16,017
Reaction score
16,431
Ulinganisho kati ya ukubwa wa Gdp za states za USA na Gdp za nchi za Kiafrika. California ina Gdp kubwa kushinda Gdp ya Afrika nzima. Hawaii yenye watu chini ya milioni mbili ina Gdp sawia na Ethiopia yenye watu milioni 110. Gdp ya Kenya ni sawia na Gdp ya New Mexico ambayo ni mojawapo ya majimbo masikini zaidi huko Marekani. Tanzania hata haipo kwenye list kwa sababu Gdp yenu ni ndogo sana. Tulieni tutaunda list yenu baadaye.


FBgx64-XEAYmdiU
 
Ulinganisho kati ya ukubwa wa Gdp za states za USA na Gdp za nchi za Kiafrika. California ina Gdp kubwa kushinda Gdp ya Afrika nzima. Hawaii yenye watu chini ya milioni mbili ina Gdp sawia na Ethiopia yenye watu milioni 110. Gdp ya Kenya ni sawia na Gdp ya New Mexico ambayo ni mojawapo ya majimbo masikini zaidi huko Marekani. Tanzania hata haipo kwenye list kwa sababu Gdp yenu ni ndogo sana. Tulieni tutaunda list yenu baadaye.


FBgx64-XEAYmdiU
Maisha ya kuigaiga tu....

Unawezaje kulinganisha maisha ya mabeberu wanaoendesha kuitawala dunia na sisi waafrika?!!!

Kwani umesikia Tanzania Ina janga la njaa kutokana na ukame Kama uliotangazwa na mh.Rais Uhuru Kenyatta?!!!!

Amani yetu....
Utulivu wetu....
Mazao na kilimo chetu....

KINATUTOSHA VYEMA TU WALA HATUNA HAJA YA KWENDA KUISHI SAYARI YA MARS.....💪
 
Maisha ya kuigaiga tu....

Unawezaje kulinganisha maisha ya mabeberu wanaoendesha kuitawala dunia na sisi waafrika?!!!

Kwani umesikia Tanzania Ina janga la njaa kutokana na ukame Kama uliotangazwa na mh.Rais Uhuru Kenyatta?!!!!

Amani yetu....
Utulivu wetu....
Mazao na kilimo chetu....

KINATUTOSHA VYEMA TU WALA HATUNA HAJA YA KWENDA KUISHI SAYARI YA MARS.....💪
Hii simplistic mindset ndio inayotumaliza sisi Waafrika. Kwamba bora umekula na kushiba na kuenda choo umetosheka na wala hutaki kufikiria na kuvumbua vitu vipya au teknolojia mpya.
 
Hii simplistic mindset ndio inayotumaliza sisi Waafrika. Kwamba bora umekula na kushiba na kuenda choo umetosheka na wala hutaki kufikiria na kuvumbua vitu vipya au teknolojia mpya.
Kwa hiyo waafrika hawazindui vitu vipya kwa ajili ya maisha yao?!!

Unataka vivumbuliwe na kutangazwa huko Marekani ,ulaya na kuipiku teknolojia yao hao wamagharibi na Kutwa kushinda TUZO ZA NOBELI nyingi katika kila "category"?!!

Afrika ipambane kujirahisishia maisha yake na si KUFUKUZIA alipo mzungu...kumpita na kuwa juu yake.....

Kwanza hata haya yaitwayo maendeleo ya DUNIA wala si yetu....ni ya MZUNGU.....

Unashindanaje na mtu ambaye ameishika UN ,IMF ,WB ,Raslimali za dunia n.k

Rejea: Uhusiano tete wa Ufaransa na Marekani kuhusu zile Manowari zilizotaka kupelekwa AUSTRALIA
 
Ulinganisho kati ya ukubwa wa Gdp za states za USA na Gdp za nchi za Kiafrika. California ina Gdp kubwa kushinda Gdp ya Afrika nzima. Hawaii yenye watu chini ya milioni mbili ina Gdp sawia na Ethiopia yenye watu milioni 110. Gdp ya Kenya ni sawia na Gdp ya New Mexico ambayo ni mojawapo ya majimbo masikini zaidi huko Marekani. Tanzania hata haipo kwenye list kwa sababu Gdp yenu ni ndogo sana. Tulieni tutaunda list yenu baadaye.


FBgx64-XEAYmdiU
Nyorosha kiyatu na paka kiwi kama mjadala.
 
Ulinganisho kati ya ukubwa wa Gdp za states za USA na Gdp za nchi za Kiafrika. California ina Gdp kubwa kushinda Gdp ya Afrika nzima. Hawaii yenye watu chini ya milioni mbili ina Gdp sawia na Ethiopia yenye watu milioni 110. Gdp ya Kenya ni sawia na Gdp ya New Mexico ambayo ni mojawapo ya majimbo masikini zaidi huko Marekani. Tanzania hata haipo kwenye list kwa sababu Gdp yenu ni ndogo sana. Tulieni tutaunda list yenu baadaye.


FBgx64-XEAYmdiU
GDP ya California inaipiga Africa yote GDP combined
 
Ulinganisho kati ya ukubwa wa Gdp za states za USA na Gdp za nchi za Kiafrika. California ina Gdp kubwa kushinda Gdp ya Afrika nzima. Hawaii yenye watu chini ya milioni mbili ina Gdp sawia na Ethiopia yenye watu milioni 110. Gdp ya Kenya ni sawia na Gdp ya New Mexico ambayo ni mojawapo ya majimbo masikini zaidi huko Marekani. Tanzania hata haipo kwenye list kwa sababu Gdp yenu ni ndogo sana. Tulieni tutaunda list yenu baadaye.


FBgx64-XEAYmdiU

dah!

mkuu uko serious kabisa unalinganisha uchumi wa Marekani na huu wetu huku Africa?

anyways ndio maana ni kawaida kulinganisha demokrasia na uchaguzi wa Marekani na chaguzi za hapa Africa.
 
dah!

mkuu uko serious kabisa unalinganisha uchumi wa Marekani na huu wetu huku Africa?

anyways ndio maana ni kawaida kulinganisha demokrasia na uchaguzi wa Marekani na chaguzi za hapa Africa.
Sio mimi nimeunda hio table. Ni wazungu wenyewe wametengeneza hio table. Mimi nimepost tu. Kwa hivyo unamaanisha kwamba wazungu hawapo serious kulinganisha uchumi wa Marekani na wa Afrika?
 
Sio mimi nimeunda hio table. Ni wazungu wenyewe wametengeneza hio table. Mimi nimepost tu. Kwa hivyo unamaanisha kwamba wazungu hawapo serious kulinganisha uchumi wa Marekani na wa Afrika?
of course!
 
Ulinganisho kati ya ukubwa wa Gdp za states za USA na Gdp za nchi za Kiafrika. California ina Gdp kubwa kushinda Gdp ya Afrika nzima. Hawaii yenye watu chini ya milioni mbili ina Gdp sawia na Ethiopia yenye watu milioni 110. Gdp ya Kenya ni sawia na Gdp ya New Mexico ambayo ni mojawapo ya majimbo masikini zaidi huko Marekani. Tanzania hata haipo kwenye list kwa sababu Gdp yenu ni ndogo sana. Tulieni tutaunda list yenu baadaye.


FBgx64-XEAYmdiU
Hizo NI dalili za mimba changa, chuki , husda, kisirani.
 
Maisha ya kuigaiga tu....

Unawezaje kulinganisha maisha ya mabeberu wanaoendesha kuitawala dunia na sisi waafrika?!!!

Kwani umesikia Tanzania Ina janga la njaa kutokana na ukame Kama uliotangazwa na mh.Rais Uhuru Kenyatta?!!!!

Amani yetu....
Utulivu wetu....
Mazao na kilimo chetu....

KINATUTOSHA VYEMA TU WALA HATUNA HAJA YA KWENDA KUISHI SAYARI YA MARS.....[emoji123]
Nimecheka hiyo sayari ya Mars[emoji38][emoji38][emoji1241][emoji3590][emoji169][emoji172]
Buguruni
IMG_20211108_000356_4.jpg


Sent from my Infinix X606B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom