Hebu tulizungumzie goli la Konde Boy vs JKT Tanzania

Umeme ulikatika ko game nimeimiss msaada kwa anaejua marudio yatakua lini na sa ngap nione
 
Kwa mpira huu wa Simba mechi ya trh 28 mimi naweka mkeka nyumba yetu ya urithi ipo mkwajuni pamoja na dadangu Ever bado hajazalishwa na mabaharia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…