Acha uongo ww wewe ulikua na miaka 20Mimi nilikuwa sijafika miaka 10
Hahahaha mkuu paschal mayalla ndio alikuwa na miaka hiyo bhana
Mkuu yamekua hayo?? Najua ww ni mtu mzima act like adult basPM umetuma text moja tu nikagundua unaleta pumba nikasepa
You disappoint me to the highest degree my friendSawa
Kijana, ulipaswa ungeanza na salamuMimi nilikuwa sijafika miaka 6
Wa 98 tunakoment wapi kabla shule hazijafungua?
Aiseeeeee....
Mkuu, heri ungeandika kwa kibantu tu.