Hebu tuwekane sawa katika hili

pitbull

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2011
Posts
596
Reaction score
184
Kumekuwepo na mijadala mbalimbali katika jf juu ya chuo gani ni bora zaidi ya kingine mi nataka kuuliza katika ajira je kitu kinachoangaliwa ni umesoma chuo gani au umefauluje?
 
waajiri wengi wamesoma UD au SUA. Na wengi wao wanajua kuwa vyuo vikuu Tz bado vipo viwili tu: SUA na UD
 

Mkuu huko nilipobold panaonyesha jinsi gani usivyo GT,lugha uliyotumia imekaa kiuni zaidi na isitoshe kuna thread ilishaanzishwa kuhusiana na utata huu,ungeenda kubishana nao huko. Mimi mwenyewe sijapangwa UD,lakini siwezi kubishana kwa mambo kama haya,ntaenda kusoma kwa bidii huko nilipopangwa.
 
u can feel the actions of those who missed their first sellection at udsm and sua.aaahh
 
Ubora wa chuo ni wewe mwenyewe na issue ya kuajiriwa ni namna unavojipanga period!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…