Hebu tuweke court room drama

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,252
Sasa tuweke Court Room Drama

Umesema umetaifisha Almasi kwa sababu Mwadui walitangaza thamani pungufu:

Serikali: ndio

Soma hii karatasi:
Serikali: nimesoma

Imeandikwa na nani?

Serikali:imeandikwa na serikali ya jamhuri ya muungano kupitia wizara ya nishati na Madini

Unaelewa maana ya provisional value?

Serikali; ndio,ni thamani ya awali

Kwa hiyo thamani halisi ingejulikana kwenye mnada?

Serikali: ndio

Kwa hiyo uliposema hawakutaja thamani halisi,hawa mwadui wangejuaje thamani halisi kabla ya mnada?

Serikali:kimya

Kamishna wa Madini alitoa kibali cha kusafirisha?

Serikali:ndio

Kwa hiyo taratibu zote zilifatwa?

Serikali: ndio

Kwa nini ulitaifisha kama unajua thamani halisi ingejulikana Belgium na taratibu zote zilifatwa

Serikali: kimya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
serikali:tumekamata kutokana na udanganyifu wa almasi ambao ni tofauti na kiwango tulicho hakiki mwanzo

mchokozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…