Hebu wachek hawa Aspirin sijui ndio Chrispin sina uhakika na Dark City (DC)

waandishi +walimu wa miandiko mpoooooooo?
mbona kimya?
naona spelling error kibao umu..
njoo apa utetee grammar na si SEMANTIK...teh tehh...mwalimu wa HKL wapppppppppppppp baba?

Upo Rose,

Great to see you!
 
asante sana Maty.....kuna baadhi ya watu humu wana fustration zao wanakuja kucheulia wengine makande yao na uji wa limao...ovyoo kabisa.


Hahahaha nyamayao umenichekesha cjawahi ona lol watu wote wananishangaa hapa hii ndio kitu napenda toka JF vijimaneno kama hv havikeri bali vinakufurahisha na kuburudisha unajikuta umefurahia siku yako
 
Ni vema kuelewa na kukubali watu tuko na tabia tofauti, wengine wanabusara na wengine ndio ivyo tena...

Nakubaliana na wewe ikunda ila kumbuka sio wote unaowaona JF wanajibu vizuri humu hawana tabia mbaya kila mtu anatabia yake inayokera including me hakuna alie mkamilifu na ndio maana ukiangalia wakorofi humu wako wachache sana ukilinganisha na wastaarabu sio kwamba ni wastaarabu ki vile bali wakiingia JF wanaweka matatizo yao pembeni tunataka jf pawe sehemu ya kupunguza stress na sio kuongeza stress
 
waandishi +walimu wa miandiko mpoooooooo?
mbona kimya?
naona spelling error kibao umu..
njoo apa utetee grammar na si SEMANTIK...teh tehh...mwalimu wa HKL wapppppppppppppp baba?


Tatizo mnavyopeana sifa wengine wanageuza hii foramu kuwa ya kwao, hasa baada ya kusifiwa analewa tembo analitia maji, hasa hao ma premium members yaani sometimes wanakera nusu kufariki, afu we rose hilo neno lako la mbeba maboksi unamaana gani
 
kweli kabisa Maty,
hapa jf kwa namna moja ama nyingine inabidi ukubari kukubariana
na kutokubari kutokubariana
 


Hii gari ya mamaaa!

Maty nakupenda sana. kama mwanangu na kama Rafiki. Ahsante kama mimi ni sehemu ya furaha na kishusha stress chako. Siku bosi akikukera halafu JF ikagoma kufunguka...meza vidonge viwili vya asprin, nitaingia ndani ya tumbo lako na kufanya the needful. Ila ukipata mimba, mi simo.

Location ya Asprin ni Martenity Ward. Karibuni kina mama wazazi niwahudumie.
 

We kiboko yako Mama KUBWA tu.....acha kuwaonea hao wajawazito
 

Mkuu naona unapunguza stress
 

thnx soo much kaka....unajua kuna watu humu unawafurahia mpaka bac ukiwamic unaona forum inaboa, wengine ndio kama hao, kubwatuka kwao ni kama anashindaga kwenye kilabu cha dengerua.
 
Mkuu naona unapunguza stress

Ni mojawapo ya kazi ya Asprin...Angalizo: Napunguza stress kwa jinsia moja tu. Jinsia yako, onana ma mama Big mtaa wa pili kule.:smile-big::smile-big::smile-big:
 
Tatizo mnavyopeana sifa wengine wanageuza hii foramu kuwa ya kwao, hasa baada ya kusifiwa analewa tembo analitia maji, hasa hao ma premium members yaani sometimes wanakera nusu kufariki, afu we rose hilo neno lako la mbeba maboksi unamaana gani

hahaha hahhaa raha kweli kweli
asi naish MEREKANI MIMI BASI NIKITOKA KAZINIKWANGU KULE KUBEBA MABOKS WEEEEEEE NAKUWA NA HASIRA yan kila kitu naona kosa tuuuuuuu !!!!!!!!
kwan wewe haubeb maboks......hahah hahhaaaaaaaaa hasira znakuja na necha ya kaz nayofanya.........:yield::yield::yield:
 
thnx soo much kaka....unajua kuna watu humu unawafurahia mpaka bac ukiwamic unaona forum inaboa, wengine ndio kama hao, kubwatuka kwao ni kama anashindaga kwenye kilabu cha dengerua.

Ahsante dada,

Hiyo ndo nini?
 

Mbona na mimi naishi USA, jimbo la Manzese, Mtaa wa Tandale bababara namba 0, Zip code ni "MBEGE". Tunaweza kuonana baada ya maboksi tupate subu ya kongoro?
 

Kwa mamlaka niliyopewa na jamhuri ya watakatifu... we binti hebu badili avatar yako

Kabla babu hajatumbukia jehanam.
 
Tatizo mnavyopeana sifa wengine wanageuza hii foramu kuwa ya kwao, hasa baada ya kusifiwa analewa tembo analitia maji, hasa hao ma premium members yaani sometimes wanakera nusu kufariki, afu we rose hilo neno lako la mbeba maboksi unamaana gani

baadhi ya premuim member ndio utashangaa wanaongoza kwa uozo, yaani wanajiona wao kama wapo humu miaka kadhaa bac wao ndio kila kitu, uliingia mwaka jana/leo bac huna hujualo....yaani kuna watu wa ajabu sana....
 
baadhi ya premuim member ndio utashangaa wanaongoza kwa uozo, yaani wanajiona wao kama wapo humu miaka kadhaa bac wao ndio kila kitu, uliingia mwaka jana/leo bac huna hujualo....yaani kuna watu wa ajabu sana....

Wewe ukiwa mmojawapo.............:tape::tape::tape:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…