STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,076
- 17,247
Kuna wadada, na akili zenu zote, unakutana na
Mwanaume ameshaoa, ana mke na watoto
wawili, anakwambia anakupenda, yuko tayari
kumuacha mkewe akuoe wewe, na wewe ulivyo na
akili za ubuyu unaona hilo ni zali......
Zali ni kwa mentali tu, huo ni upuuzi, na kama unadhani huyo
Mwanaume anakupenda umeula wa chuya.
Kama Mwanamke mwenzio kajitahidi kukata viuno
miaka yote na kapewa na pete, amegeuzwa kuwa
Incubator ya kutotoa watoto na kaachwa...
Wewe
utafanya muujiza gani usiachwe siku moja ukishatotoa pia??
Mwanaume ameshaoa, ana mke na watoto
wawili, anakwambia anakupenda, yuko tayari
kumuacha mkewe akuoe wewe, na wewe ulivyo na
akili za ubuyu unaona hilo ni zali......
Zali ni kwa mentali tu, huo ni upuuzi, na kama unadhani huyo
Mwanaume anakupenda umeula wa chuya.
Kama Mwanamke mwenzio kajitahidi kukata viuno
miaka yote na kapewa na pete, amegeuzwa kuwa
Incubator ya kutotoa watoto na kaachwa...
Wewe
utafanya muujiza gani usiachwe siku moja ukishatotoa pia??